shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Asante sana, Mkuu maana yake nini?Hapo juu sielewi maana yake..
Ila haya ya kiswahili nimeelewa.
Karibu sana.
Wenye hekima tupo.
Kwa kutaka kwako kutujua hiyo ni nia njema kabisa.
Tangu sasa
Nakupa jina la Mkuu, huku JF utaitwa Mkuu.
Karibu.
Bado Naendelea Kujifunza
Asante sana nimekaribia
Nitakusomea Ahlul–Badr au ulimaanisha juice?
Ni kifupisho cha neno mkubwa.Asante sana, Mkuu maana yake nini?
Kahawa na kashataNitakusomea Ahlul–Badr au ulimaanisha juice?
Asante kwa kuja na ID mupya....assalamu alaykum!
Ni muda sasa nimekuwa na rafiki yangu XX amekuwa akinishawishi nijiunge JF, eti anasema kuna watu wana busara sana, wana hekima sana na michango yao ni hazina kwa JF. Mimi kama memba mpya naomba nitambulishwa kwao ili niweze kupata hizo busara.
Nawasilisha
Unatakiwa uwe na uwezo mkubwa sana wa kuchuja mambo maana siku hizi kuna vitoto vingi sana humu, mawazo yao yanapoteza uelekeo kabisa, karibu sanaassalamu alaykum!
Ni muda sasa nimekuwa na rafiki yangu XX amekuwa akinishawishi nijiunge JF, eti anasema kuna watu wana busara sana, wana hekima sana na michango yao ni hazina kwa JF. Mimi kama memba mpya naomba nitambulishwa kwao ili niweze kupata hizo busara.
Nawasilisha
Nilipoona avatar ya mgeni, nilipata mshtuko[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16] [emoji16] [emoji16] Fursa ukaitumia mzee babaNilipoona avatar ya mgeni, nilipata mshtuko[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fursa nimeiogopa imetaka kunipiga dua kali "Ahlul - badr"..nimekimbia speed 120[emoji23][emoji23]Nitakusomea Ahlul–Badr au ulimaanisha juice?