kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Mpira ni magoli.
Hii dhana ya kucheza entertaining football naona ni ya kijinga sana.Maana inategemea vitu vingi sana ili ifanikiwe. Mfano mechi ya jana na Prisons. Prisons wamecheza Mpira wa nguvu na vurugu sana.Uwanja wenyewe hauruhusu hizo pasi za rula.Kasi ya wachezaji wa Simba siyo kubwa.Upangaji wa timu na game plan mbovu.Huwezi kupata matokeo kwa jinsi hiyo.
Simba wawekeze kwenye kupata ushindi na waachane na maneno ya Haji. Kuna baadhi ya watangazaji wanasifia eti "soft touch" huu ni upuuzi mkubwa. Mpira wenyewe ni wa kiume hivyo uwekezaji wa nguvu lazima uende sambamba na akili na kipaji.
Kutokana na hii dhana na falsafa ya pira biriani imesababisha wachezaji kama Miqueuson na Morrison waache aina ya mchezo wao uliokuwa unaleta hatari sana kwa timu pinzani.Haya mambo ya chenga twawala ni ya kizamani sana
Hii dhana ya kucheza entertaining football naona ni ya kijinga sana.Maana inategemea vitu vingi sana ili ifanikiwe. Mfano mechi ya jana na Prisons. Prisons wamecheza Mpira wa nguvu na vurugu sana.Uwanja wenyewe hauruhusu hizo pasi za rula.Kasi ya wachezaji wa Simba siyo kubwa.Upangaji wa timu na game plan mbovu.Huwezi kupata matokeo kwa jinsi hiyo.
Simba wawekeze kwenye kupata ushindi na waachane na maneno ya Haji. Kuna baadhi ya watangazaji wanasifia eti "soft touch" huu ni upuuzi mkubwa. Mpira wenyewe ni wa kiume hivyo uwekezaji wa nguvu lazima uende sambamba na akili na kipaji.
Kutokana na hii dhana na falsafa ya pira biriani imesababisha wachezaji kama Miqueuson na Morrison waache aina ya mchezo wao uliokuwa unaleta hatari sana kwa timu pinzani.Haya mambo ya chenga twawala ni ya kizamani sana