Pre GE2025 Nadhani tupate 'Kanuni ya kudhibiti Uchawa' kabla ya Uchaguzi wa Oktoba!

Pre GE2025 Nadhani tupate 'Kanuni ya kudhibiti Uchawa' kabla ya Uchaguzi wa Oktoba!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Uchaguzi unakuja, Oktoba 2025 sio mbali, lakini wote tunashuhudia vijana wengi wamegeuka "machawa" na kupoteza mwelekeo wa kisiasa. Badala ya kujadili sera, ajira, elimu, na uchumi, wamebaki kujipendekeza kusiko na faida kwa maisha yetu.

IMG_2955.jpeg
Mastaa Wengi wamegeuka kuwa mashine za kuwapamba Wanasiasa! Kwa nyimbo na mapambio huko Dodoma.

IMG_2957.jpeg
Sisi ndio tunaunda taifa kwasasa, lakini hatuwezi kuendelea hivi. Tupate 'Kanuni ya kudhibiti Uchawa' mapema kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba!

IMG_2953.jpeg

Soma, Pia
 
Chawa Ni Wengi Sana Hawa Baadaye Wataomba Michango Wasaidiwe


#
W A T H I B I T I W E
 
Hao wasanii wa bongo kuwa chawa wala hakuna shida maana usanii bongo tayari ni umbumbumbu.

Tatizo la msingi ni pale wenye maamuzi wanapogeuka kuwa machawa.

Mahakama.
Bunge
Serikali

Ni tatizo kubwa sana kwa anayepaswa kuisimamia serikali pale anapoanza kumsifia mkuu wa serikali kwa dakika 4 as if kuna chochote cha maana alichofanya huyo serikali na huku anatumia sekunde 30 kuelezea jinsi wananchi jimboni kwake wanavyopata shida ya maji, usafiri, matibabu, elimu na masoko ya mazao yao!!

Huu uchawa wa "wenye shibe walio na maamuzi" ndio uchawa unaoligharimu hili taifa.
 
Tukifuta uchawa wakina Lucas mwashambwa watakula wapi?
 
Wakuu

Uchaguzi unakuja, Oktoba 2025 sio mbali, lakini wote tunashuhudia vijana wengi wamegeuka "machawa" na kupoteza mwelekeo wa kisiasa. Badala ya kujadili sera, ajira, elimu, na uchumi, wamebaki kujipendekeza kusiko na faida kwa maisha yetu.
View attachment 3226284
Mastaa Wengi wamegeuka kuwa mashine za kuwapamba Wanasiasa! Kwa nyimbo na mapambio huko Dodoma.
View attachment 3226285
Sisi ndio tunaunda taifa kwasasa, lakini hatuwezi kuendelea hivi. Tupate 'Kanuni ya kudhibiti Uchawa' mapema kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba!
View attachment 3226286


Soma, Pia
Ikiwa hivyo chawa wataandamana na kuleta machafuko.
 
Nilitegemea uandike na kujadili hapa hizo sera unazozitaka wewe. Lakini matokeo yake umeishia kupiga porojo na Blaa Blaa tu hapa.
 
Nilitegemea uandike na kujadili hapa hizo sera unazozitaka wewe. Lakini matokeo yake umeishia kupiga porojo na Blaa Blaa tu hapa.
Kwani huwa mbona chawa hamna hata blah blah mnavyovingiine ambavyo wengine wanaishia kukimbizwa isiiiyu kwa mchafuko.
 
Huwezi ukawazuia watu kuonyesha hisia zao kwa mtu wanayempenda. Acha wivu na roho mbaya pamoja na chuki binafsi. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu na kupewa kibali na Mungu . Chapa kazi na uonyeshe Matokeo Chanya yenye kugusa Maisha ya watu ili na wewe usifiwe na kupongezwa . na siyo unakalia umbeya tu kutwa nzima na kusutana kwa upashikuna
 
Nilitegemea uandike na kujadili hapa hizo sera unazozitaka wewe. Lakini matokeo yake umeishia kupiga porojo na Blaa Blaa tu hapa.
Najua nimegusa Ugali wako Lucas ndio maana unaleta haujaja na hoja
 
Wakuu

Uchaguzi unakuja, Oktoba 2025 sio mbali, lakini wote tunashuhudia vijana wengi wamegeuka "machawa" na kupoteza mwelekeo wa kisiasa. Badala ya kujadili sera, ajira, elimu, na uchumi, wamebaki kujipendekeza kusiko na faida kwa maisha yetu.
View attachment 3226284
Mastaa Wengi wamegeuka kuwa mashine za kuwapamba Wanasiasa! Kwa nyimbo na mapambio huko Dodoma.
View attachment 3226285
Sisi ndio tunaunda taifa kwasasa, lakini hatuwezi kuendelea hivi. Tupate 'Kanuni ya kudhibiti Uchawa' mapema kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba!
View attachment 3226286


Soma, Pia
Watapitwa na wakati na kupuuzwa kama lilopuuzwa goli la mama.

Usiombe wananchi waje wasanuke kuwa mhimbili huduma bei juu mpaka watu wanakimbia maiti na wagonjwa harafu Kuna machawa wanakula pesa za walipakodi na wengine wanasambaza na kutapanya kama njugu eti wanaziita goli la mama
 
Wakuu

Uchaguzi unakuja, Oktoba 2025 sio mbali, lakini wote tunashuhudia vijana wengi wamegeuka "machawa" na kupoteza mwelekeo wa kisiasa. Badala ya kujadili sera, ajira, elimu, na uchumi, wamebaki kujipendekeza kusiko na faida kwa maisha yetu.
View attachment 3226284
Mastaa Wengi wamegeuka kuwa mashine za kuwapamba Wanasiasa! Kwa nyimbo na mapambio huko Dodoma.
View attachment 3226285
Sisi ndio tunaunda taifa kwasasa, lakini hatuwezi kuendelea hivi. Tupate 'Kanuni ya kudhibiti Uchawa' mapema kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba!
View attachment 3226286


Soma, Pia
1)NI KOSA KUBWA SANA WANASIASA KUWA WAPIGA KULA...
2)NI KOSAKUBWA SANA KUKOSEKANA RESENI YA UANASIASA ITAKAYO KUWA INALIPIWA KILA BAADA YA MIAKA 5...KIASI KISICHO PUNGUA SH MILIONI 2..
3) NI KOSA KUBWA SANA KUTOKUWA NA DARAJA 3 ZA URAIA ZENYE VIGEZO TOFAUTI
 
Huwezi ukawazuia watu kuonyesha hisia zao kwa mtu wanayempenda. Acha wivu na roho mbaya pamoja na chuki binafsi. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu na kupewa kibali na Mungu . Chapa kazi na uonyeshe Matokeo Chanya yenye kugusa Maisha ya watu ili na wewe usifiwe na kupongezwa . na siyo unakalia umbeya tu kutwa nzima na kusutana kwa upashikuna
Hakuna chuki hapo ni ukweli

Kwahiyo, unaona sawa kumwaga pesa kwenye matukio ya kujitangaza na kutengeneza picha ya kuwa mnawajali, wakati maisha ya wananchi ni duni? Kwa nini hizo pesa zisiende kwa wananchi wa chini kabisa, zikawasaidie kuboresha maisha yao na kupunguza umasikini wao?
 
Watapitwa na wakati na kupuuzwa kama lilopuuzwa goli la mama.

Usiombe wananchi waje wasanuke kuwa mhimbili huduma bei juu mpaka watu wanakimbia maiti na wagonjwa harafu Kuna machawa wanakula pesa za walipakodi na wengine wanasambaza na kutapanya kama njugu eti wanaziita goli la mama
Hili ni janga, na mwisho wake ni mbaya
 
Back
Top Bottom