Nadhani wanaoendesha Mtandao wa Airtel wameshachoka kwa sasa

Nadhani wanaoendesha Mtandao wa Airtel wameshachoka kwa sasa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Yaani nipo maeneo ya Tabata ukipita KB kuna car wash huku kila napokuja mtandao hausomi 4G. Unasoma 3G na sometime Edge kabisa. Inashangaza sana kwa Mtandao mkubwa kama huu.

Nimewahi kutana na kadhia hii pia maeneo flani ya Banana. Tigo unakuta inasoma 4G but airtel 3G.

Je ni kwamba wameshachoka? Shida nini? Wakati watu wanafikiria 5G wao wanasua sua na 4G kweli?
 
Yaani nipo maeneo ya tabata ukipita KB kuna car wash huku kila napokuja mtandao hausomi 4G. Unasoma 3G na sometime Edge kabisa. Inashangaza sana kwa Mtandao mkubwa kama huu.

Nimewahi kutana na kadhia hii pia maeneo flani ya banana. Tigo unakuta inasoma 4G but airtel 3G.

Je ni kwamba wameshachoka? Shida nini? Wakati watu wanafikiria 5G wao wanasua sua na 4G kweli?
Nimewakimbia Airtel kitambo speed ya kobe

USSR
 
Mtandao wa Airtel ni hovyo kbs upo slow sana m nimehama siku
 
Tuliopo Mikoani huku ndio balaa kabisa!! Network yao ipo chini kabisa.
 
Airtel na Tigo hata unipe Iphone 13 na bando la bure miaka 10 siwezi kutumia.

Mitandao ya hovyo kabisa, huduma mbovu, mtandao mbovu. Hiyo mitandao ni kawaida kumpigia mtu ukaambiwa hapatikani wakati yuko hewani na bar za mtandao zimejaa.

Tanzania mtandao wenye huduma bora na za uhakika ni Vodacom ila gharama zake sio za kitoto.
 
Airtel unaweza hata piga simu chini kwa hasira. Unakuta mtu kakubip unapiga eti hapatikani , unaweza piga hata mara kumi ya kumi na moja ndo ikaita then anakiambia mbona nilikiwa hewani. Internet dah! Mungu saidia tu.


KichWa bOX
 
Airtell unatoka kujiunga bando mda huo huo alafu unaambiwa bando lako limekwisha ukiangalia salio lipo
 
Yaani nipo maeneo ya Tabata ukipita KB kuna car wash huku kila napokuja mtandao hausomi 4G. Unasoma 3G na sometime Edge kabisa. Inashangaza sana kwa Mtandao mkubwa kama huu.

Nimewahi kutana na kadhia hii pia maeneo flani ya Banana. Tigo unakuta inasoma 4G but airtel 3G.

Je ni kwamba wameshachoka? Shida nini? Wakati watu wanafikiria 5G wao wanasua sua na 4G kweli?
Usiombe kwa znz tulishasahau kama 3g,4g na the likes huku usijaribu kununua mb za airtel au voda, ni mwendo wa E tena wakati mwingine smart phone zinagoma kabisa kukamata net, ukiwapigia airtel wanaishia kukuuliza unatumia simu gani, ukiwambia samsung utasikia ndo maana, siku ingine ukipiga ukiwaambia iPhone utasikia ndio maana, techno ndo maana
 
Usiombe kwa znz tulishasahau kama 3g,4g na the likes huku usijaribu kununua mb za airtel au voda, ni mwendo wa E tena wakati mwingine smart phone zinagoma kabisa kukamata net, ukiwapigia airtel wanaishia kukuuliza unatumia simu gani, ukiwambia samsung utasikia ndo maana, siku ingine ukipiga ukiwaambia iPhone utasikia ndio maana, techno ndo maana
Waliwahi niuliza swali hili la kipumbavu nikawaambia simu yangu haiwahusu.
 
Yaani nipo maeneo ya Tabata ukipita KB kuna car wash huku kila napokuja mtandao hausomi 4G. Unasoma 3G na sometime Edge kabisa. Inashangaza sana kwa Mtandao mkubwa kama huu.

Nimewahi kutana na kadhia hii pia maeneo flani ya Banana. Tigo unakuta inasoma 4G but airtel 3G.

Je ni kwamba wameshachoka? Shida nini? Wakati watu wanafikiria 5G wao wanasua sua na 4G kweli?
Tembea na mnara wako

Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom