Kuna rafiki angu mmoja hivi alikuwa asimamishi mashine, kwenda kwa mganga akaambiawa Aunt zako ndio wamefanya hivyo, Jamaa akatoka akabeba panga mpaka kwa shangani zake akawatisha kuwaua na akawapigia mtwara kuwa kufikia siku tatunataka mjeshi wangu apige saluti, Mbona siku ya pili alirudi hewani.
Ndipo nilianza kuamini hivi vitu