Nadharia ya big bang na kuundwa kwa ulimwengu

Nadharia ya big bang na kuundwa kwa ulimwengu

Tus66

Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
14
Reaction score
1
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu nadharia ya big bang inavyoeleza kuhusu kuundwa kwa ulimwengu.
 
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu nadharia ya big bang inavyoeleza kuhusu kuundwa kwa ulimwengu.

Watu wengi wakisikia kuhusu big bang, wanadhani ni mlipuko mkubwa ulitokea, SIVYO.

Big bang, inaeleza kuwa dunia ilikuwa ndogo sana enzi hizo na kulikuwa na baridi, but kadri mda ulivyo kwenda joto liliongezeka, hivyo kusababisha itanuke na ijicompress (expansion and compresion)

Sio hivyo tu pia kuna force ziitwazo SINGULARITY ambazo ziko beyond the understanding of physics.


Ni hayo tu kwa ufupi.
 
Back
Top Bottom