Watu wengi wakisikia kuhusu big bang, wanadhani ni mlipuko mkubwa ulitokea, SIVYO.
Big bang, inaeleza kuwa dunia ilikuwa ndogo sana enzi hizo na kulikuwa na baridi, but kadri mda ulivyo kwenda joto liliongezeka, hivyo kusababisha itanuke na ijicompress (expansion and compresion)
Sio hivyo tu pia kuna force ziitwazo SINGULARITY ambazo ziko beyond the understanding of physics.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.