Nadharia ya Kuchezea Sheria kwa Manufaa ya Kisiasa

Nadharia ya Kuchezea Sheria kwa Manufaa ya Kisiasa

Mafuchila

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2006
Posts
751
Reaction score
67
WanaJF,
Mahakama ilishatoa hukumu kuwa serikali iandae mazingira yatakayowesha wagombea huru kushiriki katika chaguzi zetu. Sasa tunajindaa kuingia kwenye chaguzi zetu huku serikali ikionyesha dhahiri kuwa haina nia ya kuruhusu mgombea huru.

Katika mazingira haya serikali yetu inamtumikia nani? na inatupeleka wapi? kama ushauri wa Bunge unapuuzwa na Mahakama zetu sinadhihakiwa!
 
Tunamsuburi Mtikila aende tena Mahakamani maana Mahakama iliamua muda mrefu sana ila Serikali ilipeleka pingamizi na hivyo ndio wanasubiri, Ndio maana kwa sasa kuna migongano mikubwa sana katika jamii yetu
 
Huo sio utaala wa sheria. Ni lazima maamuzi ya mahakama yaheshimiwe.

Na kama Serikali imeweka pingamizi ni budi mahakama iharakishe kulitolea maamuzi pingamizi hilo kisheria ili maamuzi yake yawe ndio mwongozo.
 
Huo sio utaala wa sheria. Ni lazima maamuzi ya mahakama yaheshimiwe.

Na kama Serikali imeweka pingamizi ni budi mahakama iharakishe kulitolea maamuzi pingamizi hilo kisheria ili maamuzi yake yawe ndio mwongozo.

Sio pingamizi ni rufaa. Kesi ikishatolewa maamuzi (Judgment) kuna pingamizi tena? Maamuzi ya Mahakama Kuu yalikuwa haya yafuatayo katika Kesi yaCHRISTOPHER MTIKILA v. THE ATTORNEY GENERAL, MISC. CIVIL CAUSE NO. 10 OF 2005, ( HC) (Unreported):
"We shall also declare kin the present case that in principle it shall be lawful for private candidates to contest for the posts of president and Member of Parliament along with candidates nominated by political parties. However unlike the learned late judge we will not just leave it at that. Exercising our powers under any other relief as prayed in the petition and cognizant of the fact that a vacuum might give birth to chaos and political pandemonium we shall proceed to order that the Respondent in the true spirit of the original Article 21(1) and guided by the Fundamental Objectives and Principles of State Policy contained in Part 11 of the Constitution between now and the next general elections, put in place, a legislative mechanism that will regulate the activities of private candidates. So as to let the will of the people prevail as to whether or not such candidates are suitable. As this is a public interest litigation the parties shall bear their own costs."

"It is so ordered."

A.R. MANENO
PRINCIPAL JUDGE

S.A. MASSATI
JUDGE

T.B. MIHAYO
JUDGE

05/05/2006

Serikali ilikata rufaa dhidi ya uamuzi huo wa Mahakama Kuu uliotolewa tarehe 05/05/2006 kwa kudai kwamba ilihitaji tafsiri ya Mahakama ya Rufaa kwamba mabadiliko ya vifungu vya Katiba kuwa declared unconstutional ni sahihi au la, kulingana na Petition ya Mtikila: "A declaration that the Constitutional amendment to Articles 39 and 67 of the Constitution of the United Republic of Tanzania as introduced by amendments contained in Act No. 34 of 1994 is unconstitutional."
 
Back
Top Bottom