Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa

Hahahahhha. Yaan imaginary events ndio iwekwe na kutumik dunian kote?? Is it logicall?????

Dunia kote wanafahamu saiz ni mwaka 2019 yaan WOTE WANAABUDU UKUU WA KUZALIWA KWA KING HIMSELF JESUS.. HATA SIMU ZILIZOCHINA ZINAONESHA LEO NI MWAKA 2019.....
 
Bro planet x ndio nn???.. Unaongelea mungu gan????


Mana kuna MUNGU mmoja..


 
Yaan imaginary events ndio iwekwe na kutumik dunian kote?? Is it logicall?????


Dunia kote wanafahamu saiz ni mwaka 2019 yaan WOTE WANAABUDU UKUU WA KUZALIWA KWA KING HIMSELF JESUS.. HATA SIMU ZILIZOCHINA ZINAONESHA LEO NI MWAKA 2019.....

Hapo nyuma kidogo kila jamii ilikua inatumia dating system yake...

Dunia ikakutana Switzerland,wkajenga chombo cha maritime wakakubaliana dunia yote watumie dating system moja.

Jamii hizi za Mashariki zinakaamua waache zao watumie hii iliyopendekezwa,kwa makubaliano!

Kama ilivyokua kwa SI-Units maana duniani kila jamii ilikua ina vipimo vyake vya urefu,uzito,pressure,etc..wakaamua wakutane dunia nzima tutumie mfumo mmoja!

Sio kwamba eti Gregorian dating ndio superior,nooooo....ilikua kwamba ni simple na ni rahisi wanadamu wengi duniani kutumia kirahisi..

Ya china ilikua ni very complex na very precise ambapo kwa akili mfu kama zako na zangu ni ngumu kutumia kwa usahihi...

Kwa kifupi Gregorian dating is a dumbed down version of dating...it is for dumb people like me and you!

Hakuna eti cha magic ya Yesu Kristo sijui mwana wa mungu ndio kaleta tarehe zote hizi,sijui nini na nini....Noooo

Yesu as an imaginary motherfucker has nothing to do with Dating system adopted duniani hapa...

Na for your information these other dating systems from other civilizations zinafanyakazi pia...

So shut up and get on with the program!

Hakuna dini hapo..dini peleka kanisani huko mkalambane matako
 

Nachangia hii mada kwa mtindo huu,

Hii ni mada nzuri miongoni mwa mada nzuri.Kabla sijaelezea au kujibu kilichomo kwenye mada yako. Napenda ujiulize maswali haya :

1. Muda ni nini ?
2. Je muda ni kitu fulani kilichoumbwa yaani kwa lugha nyepesi "Je muda ni KIUMBE?"
3. Je kuna sehemu yoyote ambayo hakuna muda ?
4. Je muda unaweza kusimama ?

Nimekuuliza mswali haya sababu mada yako inahusu MUDA.

Nakuja kuendelea ....
 
HAHA NASHUKURU HAHAHHA NAFURAHI SANA KUONA NYIE WENYEWE MNAKUBALIANA NA HII EVENT MUHIMU .....ILIYOTOKEA MIAKA 2000ILIYOPITA ASANTENI SANA KWA HILO...

SASA TUJE KWANINI MNAWEKA BC NA AD KWENYE MIAKA ..ANGALI UNAKATAA SIO KWAAJILI YA YESU LAKIN PIA INAONEKANA NI SIKU YA BIRTHADY YA KINGHIMSELF...


HUONI KWAMBA MNAKUBALIANA NA BIBLE ??? MAANA BIBLE NDIO INASEMA HIVO ..JE HUONI KWAMBA PAKA HAPO ULIMWENGU MZIMA UNAKUBALI BIBLE ISEMAVYO KWAMBA 2000YEARS AD THE THE KING JESUS WAS BORN.....

KUMBUKA YESU HAKULETA DINI ..LAKIN ALISEMA KWENYE BIBLE KUWA YEYE NDIO KWEL NJIA NA UZIMA...NA HUKUNA AENDAYE KWA BABA ISIPOKUA YEYE..


JE NIKUPE USHAHID MWINGINE WA KIBLIBLIA KWA MAMBO YATOKEAYO SASA???
 
Yesu ni mavi gani wewe?

Ni mtu wa kufikirika!

Unamuamini wewe.....sisi wengine hatumtambui!

Tunajua ni imaginary person..hakuwepo kiukweli!

Sijui hapo huelewi nini?
 
Ngoja kwanza

Kwa nini sasa sir God anataka tufe

Hafu pia kwani kati yetu sisi na malaika nani ni bora kwake ?

Kwa nn na sisi asingetufanya kama malaika ?!
Umeuliza kuhusu kifo,na kwanini tuna kufa,hii ni hatua ambayo mwanadamu anaipitia katika ukamilifu wake,kama ilivyo hatua ya kuanza kama pande la nyama,kisha pande la damu,kisha ukawa pande la nyama,kisha pande la nyama likavishwa mifupa kisha ukapuliziwa roho na ukaishi tumboni kwa mama yako,ukazaliwa na sasa unaishi,utakufa na utaishi kaburini kisha utafufuliwa na hukumu itapita. Hizi ni hatua ambazo anapitia binadamu. Kwahiyo kifo sio adhabu wala si jambo bay na tunakufa ili tufikie lengo la kuumbwa kwetu na kulipwa kile tulicho kichuma.

Mbora kwake ni yule mwenye kumcha Yeye,yaani mwenye kumtii.
 
SASA BRO..UNAPOSEMA NI MTU WA KUFIKIRIKA ALITUMIKA KU FORMATT WORLD TIMING SYSTEM...HUONI KWAMBA UNACHOONGEA HAKINA LOGIC..
Yesu ni mavi gani wewe?

Ni mtu wa kufikirika!

Unamuamini wewe.....sisi wengine hatumtambui!

Tunajua ni imaginary person..hakuwepo kiukweli!

Sijui hapo huelewi nini?
 
Huyo mdudu huzaliwa na kukua ndani ya masaa 5 hukomaa na kuzeeka ndani ya masaa 10 muda huohuo keshafanya yoote ya Duniani na masaa kadhaa mbele hudondoka sababu ya uzee hivyo hupoteza uwezo wa kupaa na kufa.Ndani ya masaa 18 ndo mwisho wake, ni wachache wanaotoboa masaa 20 au 24.
 

Kwanini unapinga jambp ambalo huna uhakika nalo ?
 
Kwani Imani ni nini ? Isiwe unapinga jambo ambalo hulijui halafu ajabu ukawa unalitenda.
 
SASA BRO..UNAPOSEMA NI MTU WA KUFIKIRIKA ALITUMIKA KU FORMATT WORLD TIMING SYSTEM...HUONI KWAMBA UNACHOONGEA HAKINA LOGIC..
Kuna aina ya watu hupaswi kufanya nao mjadala ndugu. Mapepo yanaishi ndani ya watu kuyakabili ni kutumia mamlaka tu!
Asiyestahili heshima hapaswi kupewa heshima!
.
Warumi 13
7 Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.
 
....hakuna nafsi iliyoko mbinguni...mbinguni ni roho tu...roho Haifi....nafsi inakufa...na...nafsi ni hapa duniani tu.Hivyo kiumbe wa Mungu mbinguni hafi.
 
Unajiona msomi kumbe pumba tu zimejaa kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…