Nadharia ya uhalisia nafsi katika fasihi.

Nadharia ya uhalisia nafsi katika fasihi.

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
376
Reaction score
127
Nadharia ya uhalisia nafsi nini? Je, inajitokezaje katika riwaya mbalimbali za watunzi wa fasihi andishi?
 
nadhani unazungumzia dhana ya(personification)yaani msomaji kuvaa sura,matendo na tabia ya mhusika mkuu au wasaidizi wake.
 
Back
Top Bottom