dully mo hizi gari unazipata bure au?
YUP bro ile tayari kaka nishaisukuma nipo naisikilizia hii kwa sasaDah mkuu ile ya kwanza vp umesha kamata mteja?
ah chenji shida wangu si ndo maana tunazitafuta hapa mzee mzimaAma kweli watu wengine chenji sio shida mwe!
Leka
xtrail sijawahi leta ila rav4 ya milango mi3 ni around 7ml mpaka 8.5 na ya milango mi5 ni around 8ml mpaka 10 ukiagiza kutoka nje. ila ukitaka ilotumika hapa hap aunaweza kupata cheap zaidi ya hapo bro.
Dully asante sana kaka,
Na ambayo imetumika Dar inaweza kuwa kiasi gani mkuu? na km ngapi imekanyaga mguu.
sorry mzee ulikuwa unazungumzia nadia au hiyo rav4? maana hiyo nilikuandikia hapo juu ni nadia bro.Dully asante sana kaka,
Na ambayo imetumika Dar inaweza kuwa kiasi gani mkuu? na km ngapi imekanyaga mguu.
Hivi D5 na yenyewe inamatatizo kama d4?
yupo sister wangu mmoja anayo
ni model ya 1999 pia ni 3s engine
imetembea km 105,000 ya silver
huyu dada amechoka hata ukimpa 9,200,000/- unachukua mashine.
very reasonable price hiyo wangu