Aiseh, kumbe watoto wengi humu! nahisi wakati nafanya mtihani wa f6 wewe ulikuwa bado 'unavaa diapers'. Anyway, mtihani mwema na Mungu akutangulie!
yani ndio tunaanza mitihani ya kwetu ya mwisho wa kumaliza kidato cha sita. Kuanzia tarehe 8 febr. Mpaka tarehe 14 febr ndo nitamaliza nitarudi jamvini sintakuwepo rasmi. Waliopo chuoni naombeni mniandalie makazi humo ndani.
You can send your wishes here.
Kazi njema na MUNGU AWABARIKI.
yani ndio tunaanza mitihani ya kwetu ya mwisho wa kumaliza kidato cha sita. Kuanzia tarehe 8 febr. Mpaka tarehe 14 febr ndo nitamaliza nitarudi jamvini sintakuwepo rasmi. Waliopo chuoni naombeni mniandalie makazi humo ndani.
You can send your wishes here.
Kazi njema na MUNGU AWABARIKI.