Naenda kudhalilika, nisaidieni kupata huduma ya TANESCO kwa haraka

Naenda kudhalilika, nisaidieni kupata huduma ya TANESCO kwa haraka

Occupy

Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
9
Reaction score
13
Habari wakuu,

Watu hatuna STATUS sawa kwenye jamii ndio maana nimekuja kuomba msaada.

Mimi ni mjasiriamali baada ya kuhitimu chuo mwaka jana nilikuwa nimejibana nikasevu pesa kidogo nikanunua Mashine za kukoboa na kusaga Mahindi (Mota na vinu viwili) ni miezi minne sasa tangu ianze kufanya kazi.

Chanzo cha kuja kuomba msaada ni baada ya MITA kuungua ikabidi nifunge biashara nikaanza kufuatilia msaada TANESCO waje kunifungia MITA mpya, hapa shida ilipoanzia umepita mwezi sasa kila siku napewa ahadi.

Kinachoumiza kichwa hii biashara ilihitaji mtaji mkubwa ambao sikuwa nao ilibidi nikope pesa nyingine kuongezea, na ninategemea kulipa kupitia mradi huu huu kwasababu nilibahatisha eneo lina wateja sana na wa uhakika.

Napata stress sana nitaishije ukizingatia nilishashuhudia watu kadhaa waliowahii kukaa hadi miezi 3 wakisubiri kubadilishiwa mita iliyoungua hapo ndo nachoka zaidi, naona dalili za kupoteza vitu vyangu kisa madeni.

Naomba kwa mwenye connection nzuri na TANESCO anisaidie nipewe huduma kwa haraka nimekwama.

Nipo Tabora

Natanguliza shukrani.
 
Aisee, unapoanzisha inshu kama hizi za kiwanda kidogo inatakiwa unakuwa na namba karibia hata tatu za watu wa Tanesco waliopo karibu na wewe maana kwenye hizi kazi za motor huwa kuna matatizo mengi sana ya umeme.

Na hiyo mashine ya kukoboa inabidi muwe mnaitumia kwa uangarifu maana ndio huwa inaleta matatizo mengi kwenye mfumo wa umeme hasa pale inapotokea imekwama.

Inapokwama inabidi muwahi haraka sana kuizima
 
Habari wakuu,

Watu hatuna STATUS sawa kwenye jamii ndio maana nimekuja kuomba msaada.

Mimi ni mjasiriamali baada ya kuhitimu chuo mwaka jana nilikuwa nimejibana nikasevu pesa kidogo nikanunua Mashine za kukoboa na kusaga Mahindi (Mota na vinu viwili) ni miezi minne sasa tangu ianze kufanya kazi.

Chanzo cha kuja kuomba msaada ni baada ya MITA kuungua ikabidi nifunge biashara nikaanza kufuatilia msaada TANESCO waje kunifungia MITA mpya, hapa shida ilipoanzia umepita mwezi sasa kila siku napewa ahadi.

Kinachoumiza kichwa hii biashara ilihitaji mtaji mkubwa ambao sikuwa nao ilibidi nikope pesa nyingine kuongezea, na ninategemea kulipa kupitia mradi huu huu kwasababu nilibahatisha eneo lina wateja sana na wa uhakika.

Napata stress sana nitaishije ukizingatia nilishashuhudia watu kadhaa waliowahii kukaa hadi miezi 3 wakisubiri kubadilishiwa mita iliyoungua hapo ndo nachoka zaidi, naona dalili za kupoteza vitu vyangu kisa madeni.

Naomba kwa mwenye connection nzuri na TANESCO anisaidie nipewe huduma kwa haraka nimekwama.

Nipo Tabora

Natanguliza shukrani.
Jiongeze litafanyika ndani ya siku moja, lakini njia unayotumia itakuchukua mwaka
 
Taja eneo ulilopo ili iwe rahisi wao kukutafuta..
 
Aisee, unapoanzisha inshu kama hz za kiwanda kidogo inatakiwa unakuwa na namba karibia hata tatu za watu wa tanesco waliopo karibu na wewe,maana kwenye hz kazi za motor huwa kuna matatizo mengi sana ya umeme

Na hyo mashine ya kukoboa inabid muwe mnaitumia kwa uangarifu maana ndo huwa inaleta matatizo mengi kwenye mfumo wa umeme hasa pale inapotokea imekwama

Inapokamwa inabidi muwahi haraka sana kuizima
Hebu nipe ufafanuzi hapo kwenye mashine ya kukoboa inaaffect vp mota
 
Hebu nipe ufafanuzi hapo kwenye mashine ya kukoboa inaaffect vp mota
Hz mashine za kukoboa inaweza ikakwama kutokana na kuachia kiasi kikubwa cha nafaka au nafaka zikiwa na ubichi pia hupelekea mashine kukwama

Ile motor inapokwama hurudisha umeme,ule umeme unaporud kama hakuna cutter out ule umeme una uwezo wa kuunguza mita
 
Aisee, unapoanzisha inshu kama hizi za kiwanda kidogo inatakiwa unakuwa na namba karibia hata tatu za watu wa Tanesco waliopo karibu na wewe maana kwenye hizi kazi za motor huwa kuna matatizo mengi sana ya umeme.

Na hiyo mashine ya kukoboa inabidi muwe mnaitumia kwa uangarifu maana ndio huwa inaleta matatizo mengi kwenye mfumo wa umeme hasa pale inapotokea imekwama.

Inapokwama inabidi muwahi haraka sana kuizima
Kiongozi;
Nikusaidie tu kuwa, mashine inayozungushwa na motor kama ikikwama kwa sababu ya load, au sababu nyingine inayofanya motor isizunguke, kinachotokea ni kuunguza Motor ya machine na sio mita ya umeme
Hiyo Mita itakuwa imeungua kwa sababu nyingine
 
Kiongozi;
Nikusaidie tu kuwa, mashine inayozungushwa na motor kama ikikwama kwa sababu ya load, au sababu nyingine inayofanya motor isizunguke, kinachotokea ni kuunguza Motor ya machine na sio mita ya umeme
Hiyo Mita itakuwa imeungua kwa sababu nyingine
Yote yanaweza kutokea,motor kuungua au kuunguza cut out na kama cut out hazipo mita inaweza kuathirika
 
Habari wakuu,

Watu hatuna STATUS sawa kwenye jamii ndio maana nimekuja kuomba msaada.

Mimi ni mjasiriamali baada ya kuhitimu chuo mwaka jana nilikuwa nimejibana nikasevu pesa kidogo nikanunua Mashine za kukoboa na kusaga Mahindi (Mota na vinu viwili) ni miezi minne sasa tangu ianze kufanya kazi.

Chanzo cha kuja kuomba msaada ni baada ya MITA kuungua ikabidi nifunge biashara nikaanza kufuatilia msaada TANESCO waje kunifungia MITA mpya, hapa shida ilipoanzia umepita mwezi sasa kila siku napewa ahadi.

Kinachoumiza kichwa hii biashara ilihitaji mtaji mkubwa ambao sikuwa nao ilibidi nikope pesa nyingine kuongezea, na ninategemea kulipa kupitia mradi huu huu kwasababu nilibahatisha eneo lina wateja sana na wa uhakika.

Napata stress sana nitaishije ukizingatia nilishashuhudia watu kadhaa waliowahii kukaa hadi miezi 3 wakisubiri kubadilishiwa mita iliyoungua hapo ndo nachoka zaidi, naona dalili za kupoteza vitu vyangu kisa madeni.

Naomba kwa mwenye connection nzuri na TANESCO anisaidie nipewe huduma kwa haraka nimekwama.

Nipo Tabora

Natanguliza shukrani.
Ndugu Occupy Habari za saa hizi, pole kwa changamoto hio unayopitia, tunaomba kujua ulivo report ulipewa namba ya taarifa? na kama ni ndio tafadhali tupatie ili tufatilie changamoto yako .^EB
 
Back
Top Bottom