Wakuu habari ya jumamosi? nimedunduliza fedha kwa kujibana sana, na zimefika milioni 20!!! kesho napanda basi naenda "Darisalama" kununua gari. Naomba ushauri yard gani inauza gari nzuri, mie napenda niendeshe GX 110. Pia hotel gani itanifaa kupunga upepo wa baharini na maeneo ya kujinafasi ni yapi???baada ya kununua gari nitamtafuta babu Asprin nimjulie hali... nawashukuru kwa ushauri mtakaonipa.
Mkuu Ndukidi, escudo ipo juu juu...shemeji yako mjamzito atashindwa kupanda! asante sana. Karibu Namanyele...Aroooo nina ri ESCUDO langu brack hivi, ni gumu ire kishenzi.. kwanini nisikuuzie wewe? Changamkia preese! pia ni ri four weeri.
Mkuu huku petrol ni 2040 bei ya jana.
aaah!kama yuko hivyo shemeji basi inayo faa hapo ni bajaji!!!hukuziona walizileta bungeni za kubebea waja wazito!!!!Mkuu Ndukidi, escudo ipo juu juu...shemeji yako mjamzito atashindwa kupanda! asante sana. Karibu Namanyele...
Mkuu asante, mafuta siyo tatizo... hiyo fedha mbona chenji itabaki tu, kama vipi tuonane maeneo ya kiti moto baada ya kuweka full tank nitabaki kuosha macho bongo.ok,go for it!!ila dar ni 2300!!kama namna gani vipi chukua ya kuazia kabisa huko huko!!
Mkuu asante, mafuta siyo tatizo... hiyo fedha mbona chenji itabaki tu, kama vipi tuonane maeneo ya kiti moto baada ya kuweka full tank nitabaki kuosha macho bongo.
Mkuu Zamaulid, shemeji yako ndo atakuwa na mfuko wa fedha za kununua gari! baada ya kununua atabaki hotelini...maeneo yote tutazunguka.gud!!!we si ndo mtu bwana,shemeji wala usije naye mi nitakupitisha hongera na meeda uchague kitu roho napenda!!!
Mkuu Zamaulid, shemeji yako ndo atakuwa na mfuko wa fedha za kununua gari! baada ya kununua atabaki hotelini...maeneo yote tutazunguka.
Hapo kwenye red...nafikiri chenji itaniwezesha pia kupata ipad 3 mpya!! au unasemaje mkuu...