Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mikia : Yanga haijawahi kuingia makundi Champions League.
Yanga : Remember 1998, sisi ndio waasisi, tena ilikuwa 8 bora sio nyie makundi timu 16.
Mikia : Yanga haijawahi kujaza uwanja wa Taifa wasipocheza na Simba.
Yanga : Remember Yanga vs TP Mazembe mpaka mageti yakafungwa na watu wakafukuzwa na mabomu warudi nyumbani.
Mikia : Yanga haiwezi kujaza uwanja mpaka waingizwe bure.
Yanga : Remember fainali ya Kagame Cup ,Yanga vs Azam FC.
Remember Yanga vs Al Ahly, ile mechi Canavaro anafunga goli la kichwa, tulikuja kukaa mpaka upande wenu mkaita polisi wakatufukuza kwa mabomu?.
Mikia : Simba ni timu bora kimataifa.
Yanga : Remember mwaka jana ktk kupanga makundi yule mtangazaji wa Egypt aliitaje Yanga, A Big Team from Tanzania, tuone nyie kama mtapewa hiyo heshima.
Pia angalia CAF walipowapanga ktk pots za seeding, mmewekwa Level 4, yaani ambazo ni vibonde ktk zile 16 zote.
Kwa msiofahamu Simba kapangwa Level 4 na timu kama Soura na Lobi ambazo ndio zinshiriki Champions league kwa mara ya kwanza.
Mikia : Simba sasa hivi timu kubwa tunashundana na level za kina Mazembe, sio nyie mnacheza na Tukuyu.
Yanga : Remember kesho mtacheza na timu ya Mashujaa toka Kigoma ebu mtuambie Kigoma ni nchi au kwa kuwa iko karibu na Burundi?
Mikia : Lile goli la Chama ni goli bora halijawahi kufungwa.
Yanga : Remember yule kijana wa under 20 ya Mbao alifunga goli kama lile kabla hajaenda kushangilia pembeni na kupoteza maisha.
Mikia : Yanga mlivyoona uwanja umejaa mkatamani mtembeze bakuli.
Yanga : Remember , Yanga kuchangishana sio jambo geni, tena tulienda mbali tuliwachangia ktk rambirambi ya Mafisango na pesa hamkufikisha, hatutaki kuongelea na tulizowachangia mwaka jana.
Mikia : 😭
Yanga : Unalia nini sasa?
Yanga : Remember 1998, sisi ndio waasisi, tena ilikuwa 8 bora sio nyie makundi timu 16.
Mikia : Yanga haijawahi kujaza uwanja wa Taifa wasipocheza na Simba.
Yanga : Remember Yanga vs TP Mazembe mpaka mageti yakafungwa na watu wakafukuzwa na mabomu warudi nyumbani.
Mikia : Yanga haiwezi kujaza uwanja mpaka waingizwe bure.
Yanga : Remember fainali ya Kagame Cup ,Yanga vs Azam FC.
Remember Yanga vs Al Ahly, ile mechi Canavaro anafunga goli la kichwa, tulikuja kukaa mpaka upande wenu mkaita polisi wakatufukuza kwa mabomu?.
Mikia : Simba ni timu bora kimataifa.
Yanga : Remember mwaka jana ktk kupanga makundi yule mtangazaji wa Egypt aliitaje Yanga, A Big Team from Tanzania, tuone nyie kama mtapewa hiyo heshima.
Pia angalia CAF walipowapanga ktk pots za seeding, mmewekwa Level 4, yaani ambazo ni vibonde ktk zile 16 zote.
Kwa msiofahamu Simba kapangwa Level 4 na timu kama Soura na Lobi ambazo ndio zinshiriki Champions league kwa mara ya kwanza.
Mikia : Simba sasa hivi timu kubwa tunashundana na level za kina Mazembe, sio nyie mnacheza na Tukuyu.
Yanga : Remember kesho mtacheza na timu ya Mashujaa toka Kigoma ebu mtuambie Kigoma ni nchi au kwa kuwa iko karibu na Burundi?
Mikia : Lile goli la Chama ni goli bora halijawahi kufungwa.
Yanga : Remember yule kijana wa under 20 ya Mbao alifunga goli kama lile kabla hajaenda kushangilia pembeni na kupoteza maisha.
Mikia : Yanga mlivyoona uwanja umejaa mkatamani mtembeze bakuli.
Yanga : Remember , Yanga kuchangishana sio jambo geni, tena tulienda mbali tuliwachangia ktk rambirambi ya Mafisango na pesa hamkufikisha, hatutaki kuongelea na tulizowachangia mwaka jana.
Mikia : 😭
Yanga : Unalia nini sasa?