Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
- Thread starter
-
- #21
πππ we umedanganywa mkuu,siyo pot teams zimepangwa kwa levels kulikana na kushiriki mara kwa mara,yaani hizo Timu ndo underdogs kwa team zote wapo level 4Pot 4
Ismaily-Egypt
Loba Stars-Nigeria
FC Platium-Zimbabwe
JS Soura-Algeria
Unapoongea na wajinga wenzako usifikiri watu wote wako kwenye level yako.
Mtambo wewe.
Pukachaka.
Hela za mashabiki zinabaraka ndo maana tunashinda kwa michangoUmechangia timu
πππsasa mi siyo msemaji wa mikia,muulize hajjiKwani level 4 akishinda haendi robo, nusu na fainali? Hoja za kitoto sana hizi
Unataka ashabikie Mikia?Duuh seriously unamrithisha mtoto ushabiki wa Yanga, daah so sad
Wewe ndo unaelewa mkuuUnajua hata maana ya Pot au unapinga tu kuonyesha ujinga wako. Hizo seedings ndizo zinaamua utakuwa kwenye Pot gani.
Nisije nikawa najaribu kumfundisha fisi kupanda mti.
Unataka ashabikie Mikia?
Mbumbumbu in Rage's voicevyura
hawa hapaMbumbumbu in Rage's voice
Mikia wana kelele sana,wakati wamesugua benchi bila ubingwa kwa miaka kadhaa na tulikuwa tunawaheshimu tu,saiz wanataka kupanda hadi kichwani sasaUkweli Mtupu
Ukweli unaouma huu....!
Mkia hauwezi kuwa kichwa asilani.
Kwa hiyo ubora wa timu unapimwa kwa kutajwa na mtangazaji wa Misri? πππππ Ha ha haaaaa! Churaaaaa! Amepanic..
Mikia : Simba ni timu bora kimataifa.
Yanga : Remember mwaka jana ktk kupanga makundi yule mtangazaji wa Egypt aliitaje Yanga, A Big Team from Tanzania, tuone nyie kama mtapewa hiyo heshima.
Wacha kutumia nguvu sana, na unaweza wasilisha hoja yako bila matusi na ukaeleweka. Otherwise unajishushia heshima yako bure mkuu.Pot 4
Ismaily-Egypt
Loba Stars-Nigeria
FC Platium-Zimbabwe
JS Soura-Algeria
Unapoongea na wajinga wenzako usifikiri watu wote wako kwenye level yako.
Mtambo wewe.
Pukachaka.
Wanadanganyana huko kwenyw vijiwe vya kahawaKwani level 4 akishinda haendi robo, nusu na fainali? Hoja za kitoto sana hizi
Eti tunawaheshimu.. Shubamitiii... Tulete nyuzi za tambo zenu hapa? MtuacheMikia wana kelele sana,wakati wamesugua benchi bila ubingwa kwa miaka kadhaa na tulikuwa tunawaheshimu tu,saiz wanataka kupanda hadi kichwani sasa
Yanga : Remember yule kijana wa under 20 ya Mbao alifunga goli kama lile kabla hajaenda kushangilia pembeni na kupoteza maisha.
Hata kama siyo shabiki wa mipira yenu ya Chandimu lakini kuhusu seeding ya CAF Champions league Simba S.C. iko pot 4 ikiwa na point ziro sawa na Lobi na IsmailiaWewe chura weka hizo seedings unazosema kuhusu Champions league draw itakayofanyika Ijumaa tarehe 28/12/2018.
Uongo njia yake fupi.
Kwa sababu mimi ninazo.Hoja zako zingine ni za kitoto sana hazistahili kutengewa muda.
Ushauri hizi pesa unazotumia kuweka bando na kuandika mambo ya kijinga ungepeleka kwenye kapu la michango zingesaidia kupeleka vyura Mbeya.