Naendesha gari ghafla..

Aliolewa na kuacha kishaacha,
Hakuolewa bhanaa, kama aliolewa aje hapa athibitishe. Ile series yote tangu anaandika kutafuta mchumba, mara mchumba hataki kumpa tamu, mara atualike harusi, mara mume anamkojoza vizuri, mara shahawa zinamuunguza alikuwa anacheza na akili za watu. Unacheza na moniccca wewe?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo anatuzuga sioee!!
Lkn hapo juu kasema kaacha, nkajua alishaolewa na kuacha na masifa yote yale alikua akimmwagia jamaa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo anatuzuga sioee!!
Lkn hapo juu kasema kaacha, nkajua alishaolewa na kuacha na masifa yote yale alikua akimmwagia jamaa.
Hakuna lolote.
 
Yaani huyu monicca natamani nikutane nae uso kwa uso, maana stori zake, duh!!
 
Moniccca nakupendaaa
 
Dah... Mie nilijua tumbo LA kuhara lilimshika ghafla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…