mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Wanabodi biashara hii itaniua kwa pressure, tangia nimeianza sijawahi pata pesa zaidi napata hasara tu. Mara ya kwanza ni miezi mitatu iliyopita nimepata short ya 200,000/= leo nimechek nimekuta short ya 150,000/=
Hebu wajuzi wa mambo nishaurini, namna ya udhibiti.
Hebu wajuzi wa mambo nishaurini, namna ya udhibiti.