mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Tungoje MajibuZinakua zinaenda wapi kwani? Ina maana Kila siku jioni hufungi hesabu?
Wanabodi biashara hii itaniua kwa pressure, tangia nimeianza sijawahi pata pesa zaidi napata hasara tu. Mara ya kwanza ni miezi mitatu iliyopita nimepata short ya 200,000/= leo nimechek nimekuta short ya 150,000/=
Hebu wajuzi wa mambo nishaurini, namna ya udhibiti.
Huwa sifungi huwa naangalia kamishen ya kila mwezi na kuwaelekeza vijana wanote hiyo ktk kitabu. mfano.Zinakua zinaenda wapi kwani? Ina maana Kila siku jioni hufungi hesabu?
Hicho kitabu sina Mkuu.Short inakuwaje kwani kile kitabu cha miamala unacho. ujue ulicho nacho au kinachotoka
Ndio huwaga sifungi hesabu za siku, mm nachunguliaga commission inayoongezeka tu kwa mwezi.Tungoje Majibu
Uanze kufunga sasa, record miamala yote funga hesabu.Ndio huwaga sifungi hesabu za siku, mm nachunguliaga commission inayoongezeka tu kwa mwezi.
Ukiachana tu na kutokufunga hesabu hiyo commision tu ni ndogo sana. Hapo hakuna biasharaHuwa sifungi huwa naangalia kamishen ya kila mwezi na kuwaelekeza vijana wanote hiyo ktk kitabu. mfano.
1. September kamishen 20,000...
Inawezekana ndio anaanza usimbeze, kadri anavyokua na wateja wataongezeka.Ukiachana tu na kutokufunga hesabu hiyo commision tu ni ndogo sana. Hapo hakuna biashara
Ni kweli mmoja nimbaini kamtumia mpenzi wake salio! imeniuma sana lkn sijamuuliza naugulia shingoni.Uanze kufunga sasa, record miamala yote funga hesabu.
Utaona panapovuja.
Inawezekana hata vijana wanakupiga sungunyo ndogo ndogo.
Ni kweli lkn hii ni biashara ndani ya biashara, yaani biashara kuu ni stationery hii miamala nimeongeza tu na nimewekeza mtaji kidogo Sana.Ukiachana tu na kutokufunga hesabu hiyo commision tu ni ndogo sana. Hapo hakuna biashara
Ni kweli sina muda mrefu nimeanza na line 3 tu! lkn bado nahitaji kujua namna ya udhibiti wa ile fedha ili hata nikiongeza mtaji isinipe shida.Inawezekana ndio anaanza usimbeze, kadri anavyokua na wateja wataongezeka.
Duh!biashara ya mpesa ni pasua kichwa saivi funga haraka. serikali imeweka makato mengi sana mawakala wanapata ela ndogo mno ata ukileta lipa namba bado hela ni ndogo. funga hama iyo biashara kabla hujatapeliwa na kuua kabisa mtaji
Ahsante bila shaka hii itakuwa njia bora.Tafuta LIPA NAMBA wanaotoa wote tumia lipa namba. Mfano mtu anataka kutoa Laki moja, analipa 102,000 unampa 100,000 Kamili. Miamala ya kuweka tu ndio tumia Till. Tofauti na hapo ukikomaa kawaida hata kodi utakosa, mtaji wote utaisha unajiona
Chuma ulete wote nimewadhibiti!chumaulete zimeenea mitaani, kama ungekuwa unaamini kwamba uchawi upo ningekupa mbinu free bila malipo,