Habari wakuu
Nahitaji kufanya international business Yani kununua bidhaa kutoka kwenye kampuni zlzo nje ya nchi mfano UK, Austria, South Africa n.k.
Naomba kujua Ni njia gani za kufanya malipo ambzo Ni salama Zaid ambazo ztailinda pesa yangu ispotee pale inapotokea muuzaji akawa si muaminifu.
Pia nlikuwa naomba kujua T/T inakuaje na letter of credit (LC) ina utaratibu gani ili uweze kupewa na bank.
Ahsanteni
Nahitaji kufanya international business Yani kununua bidhaa kutoka kwenye kampuni zlzo nje ya nchi mfano UK, Austria, South Africa n.k.
Naomba kujua Ni njia gani za kufanya malipo ambzo Ni salama Zaid ambazo ztailinda pesa yangu ispotee pale inapotokea muuzaji akawa si muaminifu.
Pia nlikuwa naomba kujua T/T inakuaje na letter of credit (LC) ina utaratibu gani ili uweze kupewa na bank.
Ahsanteni