Nadhani hapa panahitaji shuleKuna staili mbili za kula...
1. Kula ili waongeze mafuta.
Hii ndio muda wotee unawapa chakula tu.
Mwisho wa siku wanaongezeka mafuta.
2. Kuna kula ili waongezeke muscles (nyama).
Hii unawapa chakula mara moja tu kwa siku.
Na elewa nyama/muscles ndio bei Bora sokoni ila sio mafuta.
#YNWA
Mkuu nilikua sijui hii kanuni, sasa ili nyama ziongezeke aina ya chakula ni tofauti?Kuna staili mbili za kula...
1. Kula ili waongeze mafuta.
Hii ndio muda wotee unawapa chakula tu.
Mwisho wa siku wanaongezeka mafuta.
2. Kuna kula ili waongezeke muscles (nyama).
Hii unawapa chakula mara moja tu kwa siku.
Na elewa nyama/muscles ndio bei Bora sokoni ila sio mafuta.
#YNWA
Ansante sana kiongozihongera mkuu
Inawezekana boss ni kuhamua tuu
Nadhani hapa panahitaji shule
1. MusclesMkuu nilikua sijui hii kanuni, sasa ili nyama ziongezeke aina ya chakula ni tofauti?
Thnks1. Muscles
Chakula kilekile unachowapa muda wotee ili waongezeke mafutaa basi wape kwa siku mara moja.
Yaani amka asubuhi fanya usafi wa Banda halafu Weka chakula chako cha kutosha (usisahau balance diet).
Halafu muda wotee hakikisha maji yapo.
2. Mafuta.
Unawapa tu chakula.
Asubuhi, mchana na jioni.
Ili mradi chakula kimeisha basi we unawapa tu.
Watajua mabongee ila ubonge wao ni kutokana na mafuta kujazana mwilini.
#YNWA
Post #27Mkuu nilikua sijui hii kanuni, sasa ili nyama ziongezeke aina ya chakula ni tofauti?
Hahahahaha dah jamaa ataua soko la kufanya figoNa figo zao ni dili saivi
Ansante sana kiongozihongera mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Na figo zao ni dili saivi
Ansante sanaKila la heri mkuu!
AminaKila la heri mkuu!
Hongera Mkuu natamani nijifunze kutoka kwako ninayo ndoto ya kufanya haya ufanyayo!!!Nimeanza uzalishaji wa nguruwe wa biashara! nitakuwa nauza kadiri ya mahitaji ya mteja, ninafuga kibiashara! nitahitaji wanunuzi wa mabucha na wafugaji, now niko kwenye uzalizaji nahitaji permanent buyer kwa mkataba n.k,, nilianza na nguruwe 25 size tofauti mwezi wa 6 mwishoni target yangu ni kutoa nguruwe 30 kila mwezi,kwa kuanzia na nitaendelea kadiri nitakavyozalisha.
Nina nguruwe waliokwisha zaa 6 na piglets 66 wenye mimba 13,, na wengine bado,, nimedhamiria kushika soko kwa uhakika bila kukosa bidhaa,, mbegu ninazozalisha ni largerwhite, landrace, saddleback, pertain na duroc,
Nategemea February niwe na nguruwe 400 na hapo ndipo nitakapoanza mauzo,,nimetembelea masoko mbalimbali , but bado sijapata permanent buyer!
Nguruwe wangu wanakula vizuri na wanakunywa maji ya kutosha kwa mfumo wa nipple, usafi ni kipaumbele,,ndugu zangu mwenye masoko tujuzane!!! niko maeneo ya kerege bagamoyo.
Ansanteni
Hao nguruwe 25 walitosha kwenye space ya ukubwa upi boss?Nimeanza uzalishaji wa nguruwe wa biashara! nitakuwa nauza kadiri ya mahitaji ya mteja, ninafuga kibiashara! nitahitaji wanunuzi wa mabucha na wafugaji, now niko kwenye uzalizaji nahitaji permanent buyer kwa mkataba n.k,, nilianza na nguruwe 25 size tofauti mwezi wa 6 mwishoni target yangu ni kutoa nguruwe 30 kila mwezi,kwa kuanzia na nitaendelea kadiri nitakavyozalisha.
Nina nguruwe waliokwisha zaa 6 na piglets 66 wenye mimba 13,, na wengine bado,, nimedhamiria kushika soko kwa uhakika bila kukosa bidhaa,, mbegu ninazozalisha ni largerwhite, landrace, saddleback, pertain na duroc,
Nategemea February niwe na nguruwe 400 na hapo ndipo nitakapoanza mauzo,,nimetembelea masoko mbalimbali , but bado sijapata permanent buyer!
Nguruwe wangu wanakula vizuri na wanakunywa maji ya kutosha kwa mfumo wa nipple, usafi ni kipaumbele,,ndugu zangu mwenye masoko tujuzane!!! niko maeneo ya kerege bagamoyo.
Ansanteni
Urefu meter 30 upana meter 10 nina vyumba 20 vya size tofautiHao nguruwe 25 walitosha kwenye space ya ukubwa upi boss?