Mimi nimechanganya but naona Largerwhite, saddleback ni Nzuri sana haijai mafuta,, Duroc inakuwa haraka sana but mafuta ni mengi usipobalance chakula kitakachozuia mafuta ananenepa sana but ni Nzuri tuuproject ya kibabe, hapo uwe na mtaji mtamu siyo magumashi.
mkuu hzo breed unazitambuaje kama mtu siyo mtaalamu. ipi breed nzuri kwa kuvunwa nyama tu (inayojaa nyama haraka)
Vitu vingine vibaya/dhambi unafanya ila kufuga tu nguruwe unaogopa?Kwavile unafuga kibiashara manake jikite kuwapa lishe ya nyama kuliko mafuta. Njia mojawapo nzuri ni nunua drum moja la morasis. Uwe unakata nyas au maboga na kuwawekea kdogo kidogo. Linakaa sana. Utafaidika sana. Mradi wako mzuri hata mimi kama si kuheshim waisram ningefanya. Na pia kama si kuwaheshim wakristo ningefanya. Mana suala la Yesu kuagiza mapepo waingie kwa nguvu kwa kitoweo cha watu, sijui alimaanisha nini! Je mfugaj alimfidiaje!
Hapa mkuu tupe ratio..!nyasi kavu au mbichi..?na kiasi gani cha nyasi vs mollases.Kwavile unafuga kibiashara manake jikite kuwapa lishe ya nyama kuliko mafuta. Njia mojawapo nzuri ni nunua drum moja la morasis. Uwe unakata nyas au maboga na kuwawekea kdogo kidogo. Linakaa sana. Utafaidika sana. Mradi wako mzuri hata mimi kama si kuheshim waisram ningefanya. Na pia kama si kuwaheshim wakristo ningefanya. Mana suala la Yesu kuagiza mapepo waingie kwa nguvu kwa kitoweo cha watu, sijui alimaanisha nini! Je mfugaj alimfidiaje!
Biblia sio kila unachosoma kipo kama kilivo,pengine nguruwe ilimaanisha watu wasio na mwelekeo wowote mzuri wa kiimani. Unawezaje kuhakikisha kuwa ni nguruwe wanyama ilhali Mungu ashatakasa wanyama wote kuwa si najisi (alipomwambia Petro kupitia ndoto kwenye Acts of Apostles)Kwavile unafuga kibiashara manake jikite kuwapa lishe ya nyama kuliko mafuta. Njia mojawapo nzuri ni nunua drum moja la morasis. Uwe unakata nyas au maboga na kuwawekea kdogo kidogo. Linakaa sana. Utafaidika sana. Mradi wako mzuri hata mimi kama si kuheshim waisram ningefanya. Na pia kama si kuwaheshim wakristo ningefanya. Mana suala la Yesu kuagiza mapepo waingie kwa nguvu kwa kitoweo cha watu, sijui alimaanisha nini! Je mfugaj alimfidiaje!
Nakushauri kupeleka machinjioni..!pia fungua bucha zako pamoja na kushika majiko kwenye baadhi ya baa..!usisubiri kufikisha nguruwe 400 ndio uanze kuuza..!inaweza pita swine ukalia..!tengeneza wazazi uwe unauza kwa groups kila baada ya miezi 2-3 unapeleka nguruwe sokoniNimeanza uzalishaji wa nguruwe wa biashara! nitakuwa nauza kadiri ya mahitaji ya mteja, ninafuga kibiashara! nitahitaji wanunuzi wa mabucha na wafugaji, now niko kwenye uzalizaji nahitaji permanent buyer kwa mkataba n.k, nilianza na nguruwe 25 size tofauti mwezi wa 6 mwishoni target yangu ni kutoa nguruwe 30 kila mwezi,kwa kuanzia na nitaendelea kadiri nitakavyozalisha.
Nina nguruwe waliokwisha zaa 6 na piglets 66 wenye mimba 13,, na wengine bado, nimedhamiria kushika soko kwa uhakika bila kukosa bidhaa, mbegu ninazozalisha ni largerwhite, landrace, saddleback, pertain na duroc
Nategemea February niwe na nguruwe 400 na hapo ndipo nitakapoanza mauzo,,nimetembelea masoko mbalimbali, but bado sijapata permanent buyer! nguruwe wangu wanakula vizuri na wanakunywa maji ya kutosha kwa mfumo wa nipple, usafi ni kipaumbele, ndugu zangu mwenye masoko tujuzane. Niko maeneo ya kerege bagamoyo.
Ansanteni
Mwombe Roho Mtakatifu akusaidie uweze kulielewa vema neno la MUNGU.Kwavile unafuga kibiashara manake jikite kuwapa lishe ya nyama kuliko mafuta. Njia mojawapo nzuri ni nunua drum moja la morasis. Uwe unakata nyas au maboga na kuwawekea kdogo kidogo. Linakaa sana. Utafaidika sana. Mradi wako mzuri hata mimi kama si kuheshim waisram ningefanya. Na pia kama si kuwaheshim wakristo ningefanya. Mana suala la Yesu kuagiza mapepo waingie kwa nguvu kwa kitoweo cha watu, sijui alimaanisha nini! Je mfugaj alimfidiaje!
Siku nyingine kabla ya kuanza biashara hakikisha una soko yaani unajua pa kuuza.Nimeanza uzalishaji wa nguruwe wa biashara! nitakuwa nauza kadiri ya mahitaji ya mteja, ninafuga kibiashara! nitahitaji wanunuzi wa mabucha na wafugaji, now niko kwenye uzalizaji nahitaji permanent buyer kwa mkataba n.k,, nilianza na nguruwe 25 size tofauti mwezi wa 6 mwishoni target yangu ni kutoa nguruwe 30 kila mwezi,kwa kuanzia na nitaendelea kadiri nitakavyozalisha.
Nina nguruwe waliokwisha zaa 6 na piglets 66 wenye mimba 13,, na wengine bado,, nimedhamiria kushika soko kwa uhakika bila kukosa bidhaa,, mbegu ninazozalisha ni largerwhite, landrace, saddleback, pertain na duroc,
Nategemea February niwe na nguruwe 400 na hapo ndipo nitakapoanza mauzo,,nimetembelea masoko mbalimbali , but bado sijapata permanent buyer!
Nguruwe wangu wanakula vizuri na wanakunywa maji ya kutosha kwa mfumo wa nipple, usafi ni kipaumbele, ndugu zangu mwenye masoko tujuzane!!! niko maeneo ya kerege bagamoyo.
Ansanteni
Wewe mbele Hongera sana sasa ni Feb vipi lengo limetimia kuwa nguruwe 400??Urefu meter 30 upana meter 10 nina vyumba 20 vya size tofauti
Naomba connectionSiku nyingine kabla ya kuanza biashara hakikisha una soko yaani unajua pa kuuza.
Dar kuna machinjio nyingi za nguruwe anzia huko.Pia instagram wanaofanya biashara za nyama wapo wengi na kurasa zao.
waweza wasiliana nasi tukupe connection
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fuga Bata mkuu hawa hawana kelele kabisaWadudu wanakula hao! Halafu wakishiba wanafukua chakula na pua zao kwa lengo la kukimwaga!
Unamudu vipi kuwalisha nguruwe wote hao! Once upon the time, nilijaribu kufuga 10 tu!! Aisee nilishindwa. Maana ukiwachelewesha tu kula, wanaanza kupiga makelele!
Bata utamuuzia nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fuga Bata mkuu hawa hawana kelele kabisa