Nafanyaje kuwa pilot wa ndege?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu nahisi nina kitu.

Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.

Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.

Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.

Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…