Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
[emoji15]Hii unalipia nini? - ada ya hadi kufuzu au nini?Tafuta $100,000 nenda Flying School SA.
asante mkuuNenda NIT mabibo pale au Aviation uk Ukonga utaambiwa ama watafute coastal Aviation
Urubani ni udereva tu wasikutisheasante mkuu
Kama bodaboda au sio!Urubani ni udereva tu wasikutishe
Eeh mmoja anapita angani mwingine ardhini.. wote maderevqKama bodaboda au sio!
mkuu kweli hii ndio ada yake?Tafuta $100,000 nenda Flying School SA.
Hizo ni 250m za kitanzania ukute ata kusoma shule za private za ada ya 1.8m ulikua mtihani sasa atafute 250m kwa certificate ya pilot loh.Tafuta $100,000 nenda Flying School SA.
NIT wanafundisha aircraft engineering sio pilotNenda NIT mabibo pale au Aviation uk Ukonga utaambiwa ama watafute coastal Aviation
Udereva haizidi Laki 5 au Million kujua kuendesha SemiUrubani ni udereva tu wasikutishe
Na Cabin Crew km anataka awe Attendant km Mama KiboNIT wanafundisha aircraft engineering sio pilot
Naamisha wote ni madereva tofauti ni vyombo na hiyo course NIT ipo fomu elfu 10k tuUdereva haizidi Laki 5 au Million kujua kuendesha Semi
Ndege ni RUBANI na Ada yake SIO Sawa na dereva wa Malori aliopo NIT
HAIPO wewe unaongelea NIT ya WAPI labda? Alafu usifananishe dereva wa Lori na RUBANI wa NdegeNaamisha wote ni madereva tofauti ni vyombo na hiyo course NIT ipo fomu elfu 10k tu
Ata anaweza kuanza na kufuga ndege mbali mbali kama kanga bata mzinga nk ila azoe kitu ndege kuusoma akutamsumbua sana......Anza kuweka kile kindege kwenye simu yako kwanza,
Ili hata kama hutakuja kufanikiwa,angalau utakua umefanya kitu kimoja kinachohusiana na Ndege kwenye maisha yako.