Ndg ZANGU kwayeyote anaetumia mtandao wa AliExpress naomba kujulishwa namna ya kufanya malipo Kwa bidhaa itayofanyiwa order wao wanaelekeza nifanye Kwa card nami sinakadi ndio maana nauliza kama nawezalipia Kwa Mpesa ama mtandao wowote maana nimejaribu kuona namna yakufanya hayo malipo kwasimu sioni pahala.tafadhari pia naomba kujua credibility ya mtandao huu kama nitafanya order.