Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #41
Ukija mitaa yetu lazima atatangaza tuu mkuu wangu amini kwamba na lazima utajuaKwani huyo Bibi katangaza dar yote? Mbona kwa mpalange hatunà hizi taarifa?
Ebu taja mtaa unaoishi nikahakiki hizi taarifa.
Wee mkuu una wazimu kumbeUsivunge mkuu, kwani kukataliwa sh ngap?
Asante mkuu kwa ushauri wako acha iwe hvo tuuAnasubiri reaction yako ili ajue Kama anaweza endeleza uvumi.
We jikaushe kikubwa usiwe na jazba. Wakikosa attention huwa wanapanic vibaya sana.
Bard bloodWe kausha ty
Ana tuenjoy huyoHuyo dem ana like kila comment humu
Huyo mdaslamaNani huyo
😂😂Au bibi kautaka?.....
PoazMahipso mambo z😄😄😄
SijakuelewaUna mtu mahipso!?
Sio kivile lknUpo single! 😜
Naku zoom tuKama asilimia ngapi vile!?
Sawa njoo na ID Yako feki ile😄😄😄🔎🔎 Kwann sasa mahipso tuende pm tukazoomiane vizuri!
Nina I'd moja tu mahipso acha zako au wewe ndo mwenye I'd nyingi? 😜
Yaaani huyu hovyo sanaHuyo mdaslama
Wee mwanae auUpuuzi
Dah😂😂😂Daaah mkuu acha tuu kuna watu wanakera mi natamani nikodi wahuni wakibakilie mbali huko
Yaan mkuu acha tuu ujinga mwingi ujueDah😂😂😂
Yaan mkuu acha tuu ujinga mwingiVibibi vya daslam havina akili timamu sio vibibi tu hata ivo vibabu kiujumla vizee vya daslam n vya hovyoYaan mkuu acha tuu ujinga mwingi ujue