mimi hadi mwakani ivi huwa kuingia ni mwezi wa ngapi vileHeshima mbele wana'JF naulizia vipi kuhusu nafasi za kujiunga jwtz &jkt kwa professionals. Kwa karibu mwaka mmoja sasa nimekuwa nikifuatilia humu JF na information zilionyesha kwamba wangetoa mwezi february.. And as time goes on, imekuwa kama danadana kwa takribani mwaka na miezi sasa. Hivyo mwenye valid info azitoe tunateseka huku mtaani. GOD YOU !
mwezi wa nane au wa 9 usaili utakuwa kunduchi for proffessinals form 4 na 6 wanapitia jkt ambapo ni tayari wameshaenda so tusubiri tu wadau ila iyo ndo info
i saw them,,,ofisi ya mkuu wa mkoa dar es salaam,na ofis ya mkuu wa wilaya KINONDON,,,,it was last month
that is the real info bro and am among of those who are waiting for proffessional posts
nna mdau wangu nilikua nae leo(mwanajesh )alinambia zikitoka atanambia,,,,ila hazijatoka
Mchakato wa kujiunga na JKT tumeshafanya mwezi Mei, 2012
wadau tafuteni ishu nyingine za kufanya achana na habari ya kusubiri ajira za taasisi fulani fulani,mtapoteza muda bure na umri ndo unakwenda
wadau tafuteni ishu nyingine za kufanya achana na habari ya kusubiri ajira za taasisi fulani fulani,mtapoteza muda bure na umri ndo unakwenda
wadau tafuteni ishu nyingine za kufanya achana na habari ya kusubiri ajira za taasisi fulani fulani,mtapoteza muda bure na umri ndo unakwenda
si mandondocha wa kusubiria mahala pamoja tunaangalia kila sector mzee embu jaribu kuvuka barabara alafu angalia upande mmoja tu uone
sijasema kwamba zimetoka mi nipewa taarifa kutoka makao makuu kwahiyo mwezi wa 8 au 9 posts zinatoka na usaili utatangazwa.
unafikiri mtu unapoulizia haya mambo unakua umebweteka tu? Ways itabid 2kutafute ili u2pe japo mtaji wa kuanza huo ujasirialmal unaouzungumzia wewe mana kwako pesa ya mtaji si tatizo.
haya ndondocha, so unaiba pesa madukani na mifukoni mwa watu eehh, kaazi kweeli kweeeli...
pipo nyingine bhana au hazijui maana ya ndondochax zinajitamkia tu...!!!