Nafasi ya kazi/Kujitolea ndani au nje ya nchi

Visionmark

Senior Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
158
Reaction score
28
Wakuu heshima kwenu, samahani naomba mtu ambaye anaweza kuwa na taarifa ya mahali/taasisi ambapo naweza pata kazi au nafasi ya kujitolea khsiana na uhifadhi wa wanyama pori/mazingira ndani au hata nje ya nchi anijulishe hapa jamvini. Ahsanteni sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…