Nafasi ya kazi kusimamia biashara ya hardware

Nafasi ya kazi kusimamia biashara ya hardware

lusajo1990

Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
20
Reaction score
18
Habari,
Nahitaji kijana wa kusimamia biashara ya hardware hasa katika';
  1. Ku apply Tender katika mtandao wa nest
  2. Ku tafuta masoko ya bidhaa zilizopo
  3. Ku tafuta potential suppliers
  4. Ku tuma sales and purchases report kupitia excel tool
  5. etc
Biashara ipo kibaha, kwa mawasiliano tuma mail through lusajo.ngulla@luhico.co.tz or text message 0761680098.

Deadline ya mahombi ni 28.02.2025/

regards
lusajo
 
Habari,
nahitaji kijana wa kusimamia biashara ya hardware hasa katika';
  1. ku apply Tender katika mtandao wa nest
  2. ku tafuta masoko ya bidhaa zilizopo
  3. ku tafuta potential suppliers
  4. ku tuma sales and purchases report kupitia excel tool
  5. etc
biashara ipo kibaha, kwa mawasiliano tuma mail through lusajo.ngulla@luhico.co.tz or text message 0761680098.
deadline ya mahombi ni 28.02.2025/

regards
lusajo
Elimu?
 
Natoa opportunity kwa yeyote anaeweza vitu nilivyo list hapo regardles ya education yake
Ila kipengele cha kutafuta soko la bidhaa zilizopo si ni kazi yako chief? Biashara ni matangazo!
La pili ni kuhusu wateja potential, hili nalo linakuhusu usije mwonea kijana bure. Namna unavyoendesha biashara na kuwa commited kwa clients ndo utapata potential customer na si vinginevyo.
 
Habari,
Nahitaji kijana wa kusimamia biashara ya hardware hasa katika';
  1. Ku apply Tender katika mtandao wa nest
  2. Ku tafuta masoko ya bidhaa zilizopo
  3. Ku tafuta potential suppliers
  4. Ku tuma sales and purchases report kupitia excel tool
  5. etc
Biashara ipo kibaha, kwa mawasiliano tuma mail through lusajo.ngulla@luhico.co.tz or text message 0761680098.

Deadline ya mahombi ni 28.02.2025/

regards
lusajo
Weka offer Yako pia mkuu ..offer ina maana kubwa sana kwenye tangazo la kazi..
 
Back
Top Bottom