Ayagumilwe
New Member
- Sep 12, 2024
- 1
- 1
Habari wana JF
Hongereni kwa kazi ya kujenga taifa
Anatafutwa dereva mwenye leseni ya class C yoyote , kazi yake itakuwa itakuwa ni kuendesha basi la shule na majukumu mengine atakayopangiwa na mwajiri wake
Vitu vinavyoitajika
1. Leseni daraja C
2. Elimu ya kidato cha nne na kuendelea
3. Kitambulisho/ namba ya Nida
4. Taarifa binafsi (cv)
Eneo la kazi ni Dar es salaaam
Malipo Ataelewana na mwajiri wake
Mwenye sifa tajwa hapo juu tuwasiliane na atume viaambatanisho kupitia email : enkorantima@gmail.com
Hongereni kwa kazi ya kujenga taifa
Anatafutwa dereva mwenye leseni ya class C yoyote , kazi yake itakuwa itakuwa ni kuendesha basi la shule na majukumu mengine atakayopangiwa na mwajiri wake
Vitu vinavyoitajika
1. Leseni daraja C
2. Elimu ya kidato cha nne na kuendelea
3. Kitambulisho/ namba ya Nida
4. Taarifa binafsi (cv)
Eneo la kazi ni Dar es salaaam
Malipo Ataelewana na mwajiri wake
Mwenye sifa tajwa hapo juu tuwasiliane na atume viaambatanisho kupitia email : enkorantima@gmail.com