Nafasi ya kazi kwa mfanyakazi wa Bar (Mhudumu wa bar)

Nafasi ya kazi kwa mfanyakazi wa Bar (Mhudumu wa bar)

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,011
Reaction score
4,705
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoelezea hapo kama unahitaji, una ndugu, jamaa au rafiki anayehitaji kaz ya Kuuza Bar anicheki.

Majukumu yake ni Kuuza na kuhudumia wateja.

Umri 20"s
Uzuri ni sifa ya ziada. HAIZINGATIWI. ENEO LA KAZI NI MBEZI KWA Msuguri
Mhudumu atakuwa analala kwenye eno lake la kazi atapewa Chumba cha kulala sio kuishi.

WANAHITAJIKA WAWILI MMOJA WA COUNTER NA MWINGINE WA KUSAVE

Aliye tayari ani PM
Maswala ya mshahara na majukumu Mengine watamalizana na Mwenye kazi
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoelezea hapo kama unahitaji, una ndugu, jamaa au rafiki anayehitaji kaz ya Kuuza Bar anicheki
Majukumu yake ni Kuuza na kuhudumia wateja

umri 20"s
Uzuri ni sifa ya ziada. HAIZINGATIWI
ENEO LA KAZI NI MBEZI KWA Msuguri
Mhudumu atakuwa analala kwenye eno lake la
serve
 
Back
Top Bottom