Nafasi ya kazi leo tarehe 2 october

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Jamani waungwana wanajamii wenzangu kuna nafasi ya kazi zimetangazwa kupitia gazeti la
NIPASHE la leo fuatilieni muone na kuomba hapo kwani nimelisoma leo hii asubuhi
nafasi zenyewe ni:

1 Auditor (mwenye ujuzi wa CPA)

2 Secretary (mwenye uujuzi wa microsoft office, mfano word, excel, publisher n.k na ujuzi wa Tally)

3 Office Assistant

4 KATIKA NGO's kuna nafasi pia

fuatilieni mtapata hapo
 
Sasa tulio huku Chechnia tutafute gazeti wapi ????
 
Come on Ladyfurahia,tuwekee basi hiyo NGO,maana hilo gazeti kulipata ni mpk siku 3 zijazo.Si unajua tena mabo ya pori kwa pori!
 
Come on Ladyfurahia,tuwekee basi hiyo NGO,maana hilo gazeti kulipata ni mpk siku 3 zijazo.Si unajua tena mabo ya pori kwa pori!

je wakikuita kwenye usaili kupitia hilo GAZETI???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…