KAUZUDAGAA
Member
- Sep 24, 2012
- 36
- 4
Kwa yeyote anayetafuta kazi sasa umepata suluhisho la tatizo lako. Nafasi ya kazi ni Branch manager wa NSSF. Sifa za mwombaji awe anajua kusoma na kuandika, vile vile mwombaji anatakiwa awe Mtanzania mwenye umri usiopungua miaka 18. Mwisho wa kupokea maombi ni tar. 23/04/2013. Nakuomba popote utakaposikia kuna kazi uniambie kwa sababu hata mimi nimehangaika sana kutafuta kazi hii.