Nafasi ya kazi ualimu wa Chemistry na Mathematics

Nafasi ya kazi ualimu wa Chemistry na Mathematics

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Natafuta mwalimu Fresh from school katika somo la Kemia na Mathematics (O-level) awe mbeya mjini na awe na utayari wa kufanya kazi bila kusukumwa na mwenye uwezo wa ku cope na wanafunzi wenye uwezo tofauti tofauti.

MAWASILIANO: 0620257513
 
Back
Top Bottom