Nafasi ya kazi ya Umeneja

beko

Senior Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
189
Reaction score
91
Natafuta meneja wa kusimamia mradi wa kusaga, kukoboa,kupack na kuuza nafaka. Anatakiwa awe na uzoefu walao wa miaka miwili katika kazi hiyo hapa Dar es salaam. Awe na elimu walao ya kidato cha nne. tuma maombi box 79989 Dar es Salaam piga simu 0714432979​
 

Jamani changamkeni ajira hiyo.
Sio ooh kazi hakuna wanapeana wenyewe mshindwe wenyewe hapa.
 
Malipo yakoje au ndio 'attractive package to the right candidate' ?
 
Malipo yakoje au ndio 'attractive package to the right candidate' ?
mshahara utakuwa mzuri, na pia kutakua na bonus ambayo itatokana na mauzo, tutawekeana targets, if you meet the target you must get bonus on top of your good salary
 
jaman i tuchangamkie ajira hii jamani...ina maana ss wote humu hatuna hizi qualification au ndugu jamaa na marafiki?
 
sio kwamba hatuna qualification,bali wengine wana qualification za juu zaidi.Huyo aliyesema dola 3,000 ni ya Zimbabwe!Kwa akili ya kawaida mtu wa kusimamia nafaka,mshahara ni around laki 3 za Kitanzania
 
kazi zakumeet taget ni noma jamani, nina experience nazo sana. Lakini jaribuni
 
kazi zakumeet target ni noma jamani, nina experience nazo sana. Kuna campuni wanalipa kwa target yani kwa mwezi unaweza pokea laki mbili au moja naa, jamani si shida izo
 
kwa yeye mwnyw anfanya kazi wp? utakuta hana kazi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…