Nafasi ya kujitolea kwa mwanamke aliyeachwa/ mpweke/mjane /single mother /aliyetendwa

Nafasi ya kujitolea kwa mwanamke aliyeachwa/ mpweke/mjane /single mother /aliyetendwa

Mwl wa akiba

Member
Joined
Nov 12, 2020
Posts
66
Reaction score
66
Salamu Wakuu.

Husika na kichwa cha uzi hapo juu kwa dhati ya moyo mimi kama kijana wa kitanzania nimeamua kutoa nafasi kwa wahusika hapo juu kuwapa faraja na kuona wao pia ni watu wanastahili faraja katika dunia hii na kuhakikisha furaha inakuwa sehemu ya maisha yao.

Niko tayari kuwa nao zaidi ya karibu katika kipindi ambacho mioyo yao na hali za faraja hazijawa imara nitatoa msaada wa HALI kama vile
- Communication care inahusisha kuwajulia hali kuanzia asubuhi hadi wanaenda kulala na tathmini ya siku.

- Personal feelings Care hii inahusisha kuwapa maneno ya kufariji ,kuwasifia na kuwasikiliza na stori za hapa na pale ,kuwapa kampani katika mitoko au safari kama ikiwezekana .

- Motivational Care hii itahusisha mswada wa kuwashauri kwenye baadhi ya mambo , pia kuwakumbusha kwenye mambo ambayo walipanga kuyafanya ,kuwakosoa pia wanapofanya tofauti na walivyopanga kufanya.

Kuhusu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka isiyozidi 26 ambaye nimeguswa kutoa msaada huo kwa yeyote mwenye uhitaji na ili wote tuone kuwa duniani bado furaha na faraja zinapatikana .

Kwa walio serious mnakaribishwa PM Kwa Mawasiliano na maswali ya ziada ambayo hapa mnaona aibu kuuliza.

Naomba kuwasilisha .
 
Anayekufundisha njia ya mafanikii
hajawahi pata hayo mafanikio.....too young to comfort the broken heart in details.....!

Asante Mkuu.
Itoshe kusema kuwa Tuko katika dunia ya experience zaidi kuliko umri na epuka sana kusogeza umri mbele katika kila jambo unaweza pata faida sana.
Experience is best teacher
 
Msaada wa hali ndio msaada wa muhimu sana kabla wa mali hasa kwa ambao wako katika hali hizo.
Fedha kwenye masuala ya kihisia huwa haina nafasi kubwa sana.

Asante sana.
Sijaona sehemu kama umesema utawasidia "kifedha"

we ni kidaka chozi tu
 
Msaada wa hali ndio msaada wa muhimu sana kabla wa mali hasa kwa ambao wako katika hali hizo.
Fedha kwenye masuala ya kihisia huwa haina nafasi kubwa sana.

Asante sana.
Sijaona sehemu kama umesema utawasidia "kifedha"

we ni kidaka chozi tu
 
Kwa maendeleo Ya Sasa Na Huduma Unazotoa wewe Tunakuita CHAWA.
 
Mfano una wahanga 10 tu utawamanage vp
 
Mfano una wahanga 10 tu utawamanage vp

Watu kumi ni idadi ndogo sana maana binadamu amepewa uwezo mkubwa sana kuliko viumbe wengine .

Cha msingi ni kuhakikisha faraja na upendo kwa wenzetu wenye uhitaji Mkuu.
 
Kweli we #CHAWA
Kwa hyo umejifunza njia za kutoa faraja kwa watu wa jinsia kama yangu tu.. Na hao kaka zetu wanaochunwa je? [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Back
Top Bottom