Nafasi ya kujitolea kwa mwanamke aliyeachwa/ mpweke/mjane /single mother /aliyetendwa

 
Subiri waathirika waje na wewe uteremshe bukta kama hatujakuremsha kaburini.
 
Unabet maisha

Alokwambia wanakosa faraja Nani? Wakati watoto wapo wa kuwafariji.


Kapambanie maisha uache vya bure watakujamesdelicious.
 
Unabet maisha

Alokwambia wanakosa faraja Nani? Wakati watoto wapo wa kuwafariji.


Kapambanie maisha uache vya bure watakujamesdelicious.

Mkuu

Mwombe sana mwenyezi Mungu akuondelee huo mtazamo sio mzuri na athari zake ni kubwa sana kama hautawahi kutafutia tiba mapema.

Nikusihi jitahidi sana nyakati za asubuhi na jioni ujiangalie kwenye kioo na utamke MIMI SIO SHETANI MIMI SIO SHETANI.

Kuna nafuu utapata Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…