Nafasi ya kujitolea - sales & marketing

Nafasi ya kujitolea - sales & marketing

HHR

New Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
3
Reaction score
2
Tunapenda kutangaza nafasi ya kujitolea kufanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu (3) katika idara ya Sales and Marketing.
  • Allowance ya nauli (TSH 180,000) itatolewa kila mwisho wa mwezi
  • Chakula cha asubuhi na mchana kitatolewa uwapo kazini
  • Hakutakuwa na mshahara zaidi ya allowance ya nauli
  • Waliosomea Sales and Marketing kwa level yoyote watapewa kipaumbele
  • Ajira inaweza kutolewa baada ya miezi mitatu (3) ya kujitolea kuisha
  • Uwezo wa kompyuta na kuongea kwa ufasaha lugha ya kingereza ni lazima
Kwa wanaohitaji watume CV zao kwa email:

hhrtanzania@gmail.com
 
Ni kampuni gani inajihusisha na nini? Inapatikana wapi?
 
Tunapenda kutangaza nafasi ya kujitolea kufanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu (3) katika idara ya Sales and Marketing.
  • Allowance ya nauli (TSH 180,000) itatolewa kila mwisho wa mwezi
  • Chakula cha asubuhi na mchana kitatolewa uwapo kazini
  • Hakutakuwa na mshahara zaidi ya allowance ya nauli
  • Waliosomea Sales and Marketing kwa level yoyote watapewa kipaumbele
  • Ajira inaweza kutolewa baada ya miezi mitatu (3) ya kujitolea kuisha
  • Uwezo wa kompyuta na kuongea kwa ufasaha lugha ya kingereza ni lazima
Kwa wanaohitaji watume CV zao kwa email :

hhrtanzania@gmail.com
Hapo uliposema kuwa kutakuwa na Chakula cha Asubuhi katika point yako namba Mbili umemaanisha nini? Wafanyakazi wako Watashiba sana tu!
 
Nyie Ni wale ambao mnasambaza vitu ? Sabuni sijui nk !? Bla bla nyingi ? Mara moja jero, tatu buku !
Kazi kweli kweli.,,, Tujikite kujenga uchumi wa kati !
 
Back
Top Bottom