Pre GE2025 Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar kurudiwa baada ya kutokuwa na mgombea aliyefikisha zaidi ya 50%

Pre GE2025 Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar kurudiwa baada ya kutokuwa na mgombea aliyefikisha zaidi ya 50%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Katika wagombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti hakuna aliyefikisha zaidi ya 50% hii inamaanisha uchaguzi wao unarudiwa ili kumpata mshindi.

Kulingana na taratibu za CHADEMA matokeo yanatakiwa kunangazwa yote huku nafasi ya Mwenyekiti ikiwa ni ya mwisho.

Pia soma: LIVE - Pre GE2025 - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Kwa maana hiyo hakuna matokeo yatatangazwa mpaka wapige tena kura, wagombea wazidi 50% ndio matokeo yote yatangazwe.
 
Wakuu,

Katika wagombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti hakuna aliyefikisha zaidi ya 50% hii inamaanisha uchaguzi wao unarudiwa ili kumpata mshindi.

Kulingana na taratibu za CHADEMA matokeo yanatakiwa kunangazwa yote huku nafasi ya Mwenyekiti ikiwa ni ya mwisho.

Kwa maana hiyo hakuna matokeo yatatangazwa mpaka wapige tena kura, wagombea wazidi 50% ndio matokeo yote yatangazwe.
Tafuta mtu wa ndani mle upate walahu dondoo za kwenye makaratasi yaliyosainiwa na Lema na mwenzie Boni yai
 
Wakuu,

Katika wagombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti hakuna aliyefikisha zaidi ya 50% hii inamaanisha uchaguzi wao unarudiwa ili kumpata mshindi.

Kulingana na taratibu za CHADEMA matokeo yanatakiwa kunangazwa yote huku nafasi ya Mwenyekiti ikiwa ni ya mwisho.

Kwa maana hiyo hakuna matokeo yatatangazwa mpaka wapige tena kura, wagombea wazidi 50% ndio matokeo yote yatangazwe.
Subiri tulifuatilie hili
 
Wakuu,

Katika wagombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti hakuna aliyefikisha zaidi ya 50% hii inamaanisha uchaguzi wao unarudiwa ili kumpata mshindi.

Kulingana na taratibu za CHADEMA matokeo yanatakiwa kunangazwa yote huku nafasi ya Mwenyekiti ikiwa ni ya mwisho.

Kwa maana hiyo hakuna matokeo yatatangazwa mpaka wapige tena kura, wagombea wazidi 50% ndio matokeo yote yatangazwe.
Leo ndio nimejua kumbe tunailaumu bure Tume ya Uchaguzi.
Ikiwa kauchaguzi kenye wajumbe hata robo laki awafiki kanachukua masaa zaidi ya siku moja kutangazwa, je wakipewa wasimamie uchaguzi wa jimbo itachukua miaka mingapi?
CHADEMA is unnecessarily complicating the process.
Huu uchaguzi haukutakiwa kuzidi masaa manne kwenye erra hii ya science and technology. Infact kura zingeweza hata kupigwa hukohuko majimboni hesabu zikatumwa tu Dar es salaam.
 
Information ziko 'water tight mark' hakuna kinachovuja
Mbona nimeona baada ya saini za Lema na Boni Yai...wajumbe vijana walianza kuliamsha kw shangwe...?? Na Crown TV wakawa wanamumlika sana TL?
NB: Naona wajumbe wanapiga simu kwa wingi na kucheza muziki kwa shangwe... Bila shaka ukweli upo hivyo!
 
Subiri tulifuatilie hili
Liko hivyo... Kwa mujibu wa Katibu Mnyika... Japo naona ukumbini wajumbe ni kama walishapata matokeo ya nafasi nyingine. Si kwa buradani kabambe linaloendelea ukumbini!
 
Leo ndio nimejua kumbe tunailaumu bure Tume ya Uchaguzi.
Ikiwa kauchaguzi kenye wajumbe hata robo laki awafiki kanachukua masaa zaidi ya siku moja kutangazwa, je wakipewa wasimamie uchaguzi wa jimbo itachukua miaka mingapi?
CHADEMA is unnecessarily complicating the process.
Huu uchaguzi haukutakiwa kuzidi masaa manne kwenye erra hii ya science and technology. Infact kura zingeweza hata kupigwa hukohuko majimboni hesabu zikatumwa tu Dar es salaam.
Kwa nyumbu siyo rahisi kufanya vitu kisayànsi.
 
Back
Top Bottom