Nafasi ya Mipango katika ukuaji wa uchumi wako.

Elisha Chuma

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
282
Reaction score
275
Unapoongelea mafanikio ni lazima uguse uchumi na unapogusa uchumi unaigusa serikali na mtu mmoja mmoja,hivyo suala la uchumi ni mtambuka sana lakini linasimamiwa na mipango thabiti, weka mipango ambayo itakuwa rafiki na ukuaji wa uchumi wako usijofanyie mpango ambao unaweza kuwa mzigo kwa namna moja ama nyingine kwako na kwa kile unachokifanya hivyo jitahidi sana kusimamia mipango yako kwa ukuaji wa uchumi wako.

[HASHTAG]#maishanihayahaya[/HASHTAG] wa kubadilika ni wewe tu ,

ungana nami katika mitandao ya kijamii kupata elimu zaidi

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…