Nafasi ya Mwanamke katika Mahusiano au ndoa

TIMING

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
28,186
Reaction score
15,549
Wadau

Leo asubuhi nilikua nasikiliza radio nikasikia huko Ujerumani bunge lina mpango wa kujadili nafasi ya mwanamke nyumbani na pia namna ya kuongeza au uwezekano wa wanaume kuwa more involved na kazi za majumbani... Rai hii imetolewa na wanawake huyo German

Nimepata maswali mengi sana kuhusu nafasi na wajibu wa hizi jinsia mbili kwenye maisha ya kila siku

Siku hizi usipoweza kupika, kufanya usafi nk unaambiwa hujali au sio romantic...lakini ukimuomba mansapu japo kidogo aende akasimamie vitofali, au kupakua mzigo sehemu au kulinda ulinzi jamii inakua tabu

How best can we motivate men to be more invoked in domestic assignments?
 
MTM....mbona kama hizo shughuli ulizozitaja wanawake wanazifanya sana tu, labda wawe wale wanawake kudeka/kujihic haendani na hizo kazi, lakini mwanamke wa kawaida kweny haya maisah atafanya kila kitu kujikwamua then ujue hakuna kazi zinazochosha kaam kazi za ndani Mtm NDIO MANA TUNAOMBAGA USAIDIZI...chukulia mama aliejiajiri/mfanyakazi atoke huko aje home kuna kufanya hiki na kile, kuwaangalia watoto/kupika/kufua ki ujumla kuihudumia familia bado hujamhudumia baba ucku ni kazi pevu(hapo nazungumzia mwanamke wa kati sio wale wenye uwezo wa kuweka maids 2 ndani)...hapo huoni kabisa huyu mwanamke atahitaji usaidizi wako?
 
Thanks Nyamayao... ukisoma post utaona kwamba nazungumzia women want more involvement of men in domestic activities... would the same be applied to women kwa zile kazi za nje wanazofanya akina baba?
 
MTM bana wanawake siku hizi wanafanya kila kazi hiyo kusimamia tofali mbona cha mtoto au kupakua mzigo vitu vidogo hivyo mkuu wanaume wakiosha vyombo ni mara moja moja tu kwa mapenzi si kila siku jamaa anaonsha vyombo, anapika anafua nk

Lakini kama kuna mtu anapika na kuosha vyombo kila siku akiwa mwanaume huyo ana lake jambo katika nyumba yake si rahisi na huyo mwanamke anayefanya hivyo si sawa (kwa uapnde wangu lakini)
 

...bro, mada yako nzuri sana. Tatizo ni Mila na Tamaduni zetu wabantu zinakubaliana na hayo?

Kwanza, Shida ni pale mke anapolalamika unamuingilia majukumu yake! Majukumu ambayo kwenye unyago
amefundishwa anastahili kumfanyia mumewe.

Pili, ni majukumu ambayo siku mawifi/wakwe na mashemeji wakiona Mke hayatekelezi, (huyo Mke) anastahiki kushtakiwa, kuachwa (kwa uvivu), au hata Mume kuruhusiwa kuoa mke mwingine ambaye huenda atakuwa na sifa mbadala.

Binafsi nadhani hatuna haja ya kuiga tamaduni za wenzetu. So long as na uwezo wa kujipikia ugali, kujifulia nguo na kusafisha chumba changu,...kumsaidia majukumu Mke wangu (kazi za nyumbani) ni ziada tu, isiwe ni lazima.
Kama ameelemewa, basi sina budi kumtafutia msaidizi wa Nyumbani iwapo uwezo unaruhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…