Sasa ni muda mwafaka Wazanzibar kuamua kuwa koloni la Tanganyika au walete Katiba ya Warioba yenye msingi wa Serikali 3
Mmekuwa mnalalamika kuwa Tanzania bara ndo Tanzania na Zanzibar imefanywa kama mkoa sasa nashangaa mmekalia kiti badala ya kufanya marekebisho,mmeufyata wa Bara .
Siku Rais Samia akiondoka madarakani basi Mzanzibar kuja kuwa Rais wa Muungano itakuwa ndoto za mchana unless Rais mwingine aje kufia madakani
Ukumbuke kila kukicha ndo viongozi vichaa zaidi wanazaliwa
Mmekuwa mnalalamika kuwa Tanzania bara ndo Tanzania na Zanzibar imefanywa kama mkoa sasa nashangaa mmekalia kiti badala ya kufanya marekebisho,mmeufyata wa Bara .
Siku Rais Samia akiondoka madarakani basi Mzanzibar kuja kuwa Rais wa Muungano itakuwa ndoto za mchana unless Rais mwingine aje kufia madakani
Ukumbuke kila kukicha ndo viongozi vichaa zaidi wanazaliwa