Nafasi za ajira Arusha (Sales ladies)

Nafasi za ajira Arusha (Sales ladies)

laurentie

Senior Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
100
Reaction score
77
LOGO.png
BLACKHORSE AFRICA ni kampuni mpya iliypo arusha inatafuta wafanyakazi idara ya mauzo
wanahitajika wafanyakazi wa kike kwa ajili ya mauzo
sifa za waombaji

  1. Elimu ya chuo diploma masoko na mauzo
  2. Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu
  3. Awe mkazi wa Arusha
  4. Awe na uzoefu kwenye kampuni ya information technology(IT)
  5. Awe na smart phone
  6. Awe anajua kujieleza kwa kiingereza na kiswahili kwa ufasaha
Maombi yatumwe kabla ya tarehe 07/08/2020 kwa barua pepe ops@blackhorseafrica.com
 
Back
Top Bottom