Nafasi za field katika hotel Arusha na Zanzibar kwa anayetaka

Joined
Jul 25, 2012
Posts
29
Reaction score
2
Habari JF

Nafasi za field katika hotel Arusha na Zanzibar
Kama umemaliza kozi ya Basic Certificate in Hotel Management na hujapata field, tafadhari wasiliana nami kupitia visitatanzania@gmail.com au ni PM humu, field inachukuwa miezi 3, gharama ni 200,000 inajumuisha nauli, malazi na chakula kwa muda wote wa miezi 3.

Mhimu: Kiingereza na hakuna chochote tutakubaliana kabla ya mimi kujihakikishia walau unaweza kuwasiliana kwa kiingereza.

Nawasilisha
 
Ila tahadhari kwa dada zetu kuwaomba rushwa ya ngono mkuu. Utakufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…