Sasa wanasheria wale wapi nahuku ajira
Ok sawa. Japo nilitaka kujua umuhimu na ulazima wake na nikapendekeza kama hakuna ulazima na umuhimu kiondolewe tu kipengele hicho.Nenda mahakamani upate certification ya vyeti, not necessarylily kwa mawakili. Any officer with the power to administer notaries and commission for oaths
Ni muhimu, authenticity of those certificatesOk sawa. Japo nilitaka kujua umuhimu na ulazima wake na nikapendekeza kama hakuna ulazima na umuhimu kiondolewe tu kipengele hicho.
Lazima mahakamani?Nenda mahakamani upate certification ya vyeti, not necessarylily kwa mawakili. Any officer with the power to administer notaries and commission for oaths
Ww n jobless afu kufuatilia page namba huwez unategemea kusaidiwa hilo?Sorry mkuu naomba nitajie page namba itapendeza zaidi🙏
Hata kwa mwanasheria wale wa mtaaniLazima mahakamani?
Mkuu, kuna uzi tulikuambia h ishu lkn bado ukakaza kichwa. Sasa ww weka tuu ambavyo havina mhuri wa mwanasheria afu tuma maombi na yatakubaliwa wala ht hakuna haja ya kulalamika ety n upigaji wa mawakiliMambo ya ku certify vyeti ya Nini? Ondoeni hicho kipengele maana mmewatengenezea ulaji tu mawakili/wanasheria. Washaurini hao Sekretarieti katika utumishi wa umma waondoe hicho kipengele Cha ku certify vyeti. Yaani maisha ya 2013 Bado tunayaishi kweli??
Nilipata kabla ata ajanijibu nikaona ni vema kuja kumshukuru mana alionesha kuguswa na jambo langu.Ww n jobless afu kufuatilia page namba huwez unategemea kusaidiwa hilo?
Mshukuru aliyekusaidia ila badilika mkuu, kitu kdg kama hicho kinakushinda sasa cjui kama umemaliza salama kujaza hizo taarifa zako.
Anyway, nakutakia mema mkuu. Ni ushauri tuu ili kujengana katika ubora.
🤝Nilipata kabla ata ajanijibu nikaona ni vema kuja kumshukuru mana alionesha kuguswa na jambo langu.
Pia huo Si uvivu ndugu ni ugeni wa system yenyewe akuna aliyezaliwa anajua ni kujifunza TU.
Kama ujui unauliza ndio njia mojawapo ya kujua
No! nasema hata mahakamani wanaruhusiwa. Siyo lazima kwa Wakili!Lazima mahakamani?
Wewe mwenye diploma ni tabibu sio daktari. Tafuta taaluma yako.Mbona kila nikifungua post za daktari daraja la 11,
qualifications zinataka wa shahada TU na tangazo limeruhusu adi wa stashahada kuomba Nini shida hapo???????
Usijali mkuu. Acha mawakili na wanasheria nao wavune.Mkuu, kuna uzi tulikuambia h ishu lkn bado ukakaza kichwa. Sasa ww weka tuu ambavyo havina mhuri wa mwanasheria afu tuma maombi na yatakubaliwa wala ht hakuna haja ya kulalamika ety n upigaji wa mawakili
🤝Usijali mkuu. Acha mawakili na wanasheria nao wavune.
SawaHata kwa mwanasheria wale wa mtaani
Huwezi kufungua account zaidi ya moja. Fanya mpango wa ku-rcover password. Maana kila akaunti inatambulika kwa namba ya NIDA. Hivyo namba ya NIDA moja inaweza kufungua akaunti mojaKwa ambae alishakuwa na account tangia awali ya ajira portal,anatakiwa afanye nini ili atumiwe pasword kwenye e-mail aliyo jisajiria?.
Mfano:barua pepe yako ni "atuganilebushoke01@gmail.com na nywila yako ni " jkq9@" ya kuingia kwenye mfumo.