Nafasi za kazi AGRIBUSINESS

Nafasi za kazi AGRIBUSINESS

shizukan

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2011
Posts
1,158
Reaction score
564
Bandugu wanaJF, kuna hizi nafasi za kazi zimetoka kwenye The Guardian Nov 4 za the so called Agribusiness, kwenye site ya Zoom zimeelezwa kwa kifupi kupita maelezo hakuna requirements wala description na mbaya zaidi ni mode of application kupitia zoom. Kama ndugu yetu wa ZOOM ataona ujumbe wangu atusaidie kwa hili pia, pale wameelekeza tutume references na tatizo ni kwamba hakuna namna unaweza ku-upload more than 5 files kupitia zoom. Kama yupo mwana JF mwenye kopi ya the guardian ya 4th Nov, please do me (us) a favour kutuscania na kulink that page from the paper ili tupate e-mail address ya agribusiness tutume makaratasi yetu tusubiri kuitwa kutoa rushwa
 
Bandugu wanaJF, kuna hizi nafasi za kazi zimetoka kwenye The Guardian Nov 4 za the so called Agribusiness, kwenye site ya Zoom zimeelezwa kwa kifupi kupita maelezo hakuna requirements wala description na mbaya zaidi ni mode of application kupitia zoom. Kama ndugu yetu wa ZOOM ataona ujumbe wangu atusaidie kwa hili pia, pale wameelekeza tutume references na tatizo ni kwamba hakuna namna unaweza ku-upload more than 5 files kupitia zoom. Kama yupo mwana JF mwenye kopi ya the guardian ya 4th Nov, please do me (us) a favour kutuscania na kulink that page from the paper ili tupate e-mail address ya agribusiness tutume makaratasi yetu tusubiri kuitwa kutoa rushwa
kweli mkuu, hata mimi ndipo huwa napata shida na hwa zoom. siwezi kuattach files
 
Hii inahusika na AGRIBUSINESS au unatupa mchongo mpya? Kama ni wa AGRIBUSINESS unaweza pia kunisaidia job descriptions na qualifications za Driver? I will appreciate comrade.
 
Tuma covering Cv,covering letter and references to avrecruit.morogoro@gmail.com-Ddline tarehe 18Nov.Experience ni 5 yrs for senior and mid level positions,juniors-3yrs

Hii inahusika na AGRIBUSINESS au unatupa mchongo mpya? Kama ni wa AGRIBUSINESS unaweza pia kunisaidia job descriptions na qualifications za Driver? I will appreciate comrade.
 
POsts za Agribusiness Project drivers,logistic officer,IT specialist,Office manager na Data entry-(Party Time) hawajasema specific qualifications.Hizo wamezitenga kama administrative positions,tofauti na technical positions zingine awe na experience ya kitu gani..Sina scaner,I could scan for you ili ujionee mwenyewe.
 
POsts za Agribusiness Project drivers,logistic officer,IT specialist,Office manager na Data entry-(Party Time) hawajasema specific qualifications.Hizo wamezitenga kama administrative positions,tofauti na technical positions zingine awe na experience ya kitu gani..Sina scaner,I could scan for you ili ujionee mwenyewe.

That is enough, thank you!
 
Bandugu wanaJF, kuna hizi nafasi za kazi zimetoka kwenye The Guardian Nov 4 za the so called Agribusiness, kwenye site ya Zoom zimeelezwa kwa kifupi kupita maelezo hakuna requirements wala description na mbaya zaidi ni mode of application kupitia zoom. Kama ndugu yetu wa ZOOM ataona ujumbe wangu atusaidie kwa hili pia, pale wameelekeza tutume references na tatizo ni kwamba hakuna namna unaweza ku-upload more than 5 files kupitia zoom. Kama yupo mwana JF mwenye kopi ya the guardian ya 4th Nov, please do me (us) a favour kutuscania na kulink that page from the paper ili tupate e-mail address ya agribusiness tutume makaratasi yetu tusubiri kuitwa kutoa rushwa

Pm Kwa Totolucky, naona yeye ndiye Mr huwa anawakilisha vizuri zoomtanzania.
 
Back
Top Bottom