zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya.....
kucheza ngoma za asili.
Kupiga ngoma za asili
Kupiga gitaa
Kupiga kinanda
Kupiga Drums
Kila kihusianacho na music,kwa taarifa zaidi nenda ofisi za washauri wa mgambo ofisi za wakuu wa mikoa mtapata taarifa zaidi.
Mafanikio Mema
zubeda jkt lin...? nna mdogo wangu hapa.
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya.....
kucheza ngoma za asili.
Kupiga ngoma za asili
Kupiga gitaa
Kupiga kinanda
Kupiga Drums
Kila kihusianacho na music,kwa taarifa zaidi nenda ofisi za washauri wa mgambo ofisi za wakuu wa mikoa mtapata taarifa zaidi.
Mafanikio Mema
wanachukua mwisho miaka23Hivi watafundishwa na kutumia silaha? Kwani kazi ya jeshi ni vita na sio kutumbuiza. Kama uwanja wa vita ni kumtumbuiza adui basi na iwe hivyo? Al-shabaab akisikia hili basi atateka meli mpaka hapo Magogoni!!
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya.....
kucheza ngoma za asili.
Kupiga ngoma za asili
Kupiga gitaa
Kupiga kinanda
Kupiga Drums
Kila kihusianacho na music,kwa taarifa zaidi nenda ofisi za washauri wa mgambo ofisi za wakuu wa mikoa mtapata taarifa zaidi.
Mafanikio Mema
Kwa hiyo bibie ina maana ambao hawana kipaji japo wamehitimu form 4 na std 7 hawatakiwi?!
hizo nafasi zina wenyewe.