Nafasi za Kazi: Msaidizi wa Kumbukumbu na Afisa Utumishi

Nafasi za Kazi: Msaidizi wa Kumbukumbu na Afisa Utumishi

SG8

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
3,955
Reaction score
2,133
Wana hitajika watu wawili kwa kada tajwa hapo juu.

1.Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II (Records Management Assistant II) TGS B (Nafasi 1)
Sifa: Elimu kidato cha Nne au Cha Sita pamoja na cheti/Diploma katika Utunzaji wa Kumbukumbu kutoka Chuo kinachotambilwa na Serikali katika fani ya Masjala. Uzoefu wa kazi ni sifa ya ziada.

2. Afisa Tawala na Utumishi II TGS D ( Nafasi 1)
sifa: Shahada ya kwanza kutoka Chuo Kikuu katika fani ya Utawala, Elimu Jamii, Sheria, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Uchumi au sifa zinazofanana na hizo.

Wawe pia na ujuzi wa kompyuta

Mazingira ya kazi hii ni kijijini lakini huduma zote za jamii (Umeme, maji,Elimu bora, afya, mawasiliano ya simu na barabara) ni za uhakika

Kwa wenye sifa watume maombi (Barua,vyeti,picha na CV) kupitia e-mail hii mwalimuwenu@yahoo.com au ni PM kwa maelezo zaidi.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 12/11/2011
 
kaka ebu jipange tena ndo uje, hivi. m2 atakae andika cover letter ataandikaje?
au ndo itakua hivi?
human resources manager
PO box. gerrard
jamii forum, Tanzania
au nimekosa?
thn kunawatu wataandika bila kujua iyo kitu.
kama ulijua naendelea mwenzio nimemaliza.
 
kaka ebu jipange tena ndo uje, hivi. m2 atakae andika cover letter ataandikaje?
au ndo itakua hivi?
human resources manager
PO box. gerrard
jamii forum, Tanzania
au nimekosa?
thn kunawatu wataandika bila kujua iyo kitu.
kama ulijua naendelea mwenzio nimemaliza.
Haya subiri akajipange sisi tulioelewa tutaendelea kuomba
 
2ache utan bana cover latter itakuwa vp?
 
Back
Top Bottom