Chloe O'brian
Member
- Dec 22, 2010
- 41
- 10
safi mkuu, hivi mawarden udom take home wanaondoka na ka sh. Ngapi?
Mimi nina sifa ila Udom siombi!Udom ni chuo cha kizushi,michakato yao ya ajira haieleweki na ni ya ovyo kabisa.Mtu unaomba una sifa kabisa,huitwi hata kwenye interview.Mpeane hizo kazi wenyewe.
kama laki 7 hivi
ngoja nikaombe u-ta ili nipate access ya kuwamega mabinti wazuri
<br />Udom,ubacishaji,majungu lukuki..udin sana!kuna mama anaitwa Mama Sawasawa...duh n balaa!kwa vijana wadogo naoanza maisha n mahali pazur pa kuanzia!
<br /><br /><br />
<br />
<br /><br /><br />
<br />