Nafasi za kazi Precision Air

hivi haya meno yangu ya kichaga yanaruhusiwa!!!!!!!!!!!!!!100
 
he! Judi, unakuwaje tena? Mbona ushua wenyewe siuoni?tena kwa jinsi ulivyo, mi nakushauri uapply,coz unavutia,afu kabila lenu mule wamo kibao! Ila na wasiwasi na huo urefu. Na huko kuogelea.
 
Mmmh mitoka nakuwa mkubwa sijapata sikia ndege imedondoka kwenye maji kama zinazo dondoka nchi kavu au ndii kusema hao marubani hawajui kucharaza maji poa???
 
Mh kweli wkt wa kutafuta kazi m2 unatakiwa uwe na imani maradufu maana ni pagumu hapa,hawa jamaa wametaka full coloured picture&passport! Nys obedience bwana,ngoja nikatume na mie,Mungu saidia.
 
Kumbe hawa wapuuzi wanataka picha ya mwili mzima na Passport size juu..hiyo kazi ya uuzaji mwili au??
 
Yan vigezo vyote kasoro mimi cyo handsome..sasa inakuaje na wamesema wanataka full picha yangu..duuh anaejua saloon kali ya kuntengeneza hapa dar aseme..msaada tutani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…