Nafasi Za kazi UNDP-Tanzania

Nafasi Za kazi UNDP-Tanzania

Miafrika ya tanzania bana........paco kaweka uzuri kabisaaa

Kulala kwetu sio kwenye Lugha tuu, hata katika ajira za kimataifa, Tanzania hatuna sera yoyote ya job-export, ukifika Makao Makuu ya UN pale New York, waswahili kibao ila wengi ni Wakenya, Waganda na Wasomali, nilipomuuliza ofisa mmoja akasema nafasi zinatangazwa mtandaoni, Watanzania hatuziombi, Wakenya wao wanazichukua na kuzitangaza nchini mwao ikiwemo juhudi mahsusi kuwasaidia Wakenya wenye sifa, kuziomba nafasi hizo, Watanzania kimya.

Mipaka ya soko la ajira ikishafunguliwa na kuwa huru, kama serikali yetu haitafanya juhudi za makusudi za kulinda ajira za sekta binafsi, kazi zote za wajanja (decent jobs) na zile za akili, zitachukuliwa na Wakenya, na sisi tutabakia na kazi za wajinga wajinga na zile manual.
Baadhi ya Watanzania sijui tuna nini!?, kama vile tumelogwa!
.

inasomeka vizuri......wakenya watakuja na kuchukua kila kitu tutabaki kulalamika hatutaki EA community kwa uoga........
 
HI! hope wanajamii mpo fine. This is my first time to visit your web site.I real enjoy iti Ina vitu vizuri sana hususani kwa vijana. I enjoy most jjob vacancies hope one day i will make it through JAMII FORUMS.BIG UP GUYS.
 
HI! hope wanajamii mpo fine. This is my first time to visit your web site.I real enjoy iti Ina vitu vizuri sana hususani kwa vijana. I enjoy most jjob vacancies hope one day i will make it through JAMII FORUMS.BIG UP GUYS.

Fine thanks, karibu
 
Hi Columnists, It is fantastic to be in this blog, we catch the precious jobs without visiting the newspaper vendors.

Here is the place where life makes the real contribution and meaning!!!

stay online
 
Mkuu tunakushukuru sana kwa habari njema za kutuwezesha kupata kibarua.
 
ni mara ya kwanza kuvisit, lakini nime enjoy, na nategemea kutoka kupitia hii blog
 
ni mara ya kwanza kuvisit, lakini nime enjoy, na nategemea kutoka kupitia hii blog

Karibu, lakini umeingia kupitia thread ya zamani, enzi hizo YoYo alipokuwa hai
 
HI! hope wanajamii mpo fine. This is my first time to visit your web site.I real enjoy iti Ina vitu vizuri sana hususani kwa vijana. I enjoy most jjob vacancies hope one day i will make it through JAMII FORUMS.BIG UP GUYS.

Nadhani ungesema "OUR" kwani wewe humu ni mpita njia?
 
Back
Top Bottom