Nafasi za kazi United Nations

kinetiq01

Member
Joined
Aug 25, 2006
Posts
49
Reaction score
0

Kwa yeyote anayefikiria kuomba kazi UN, post za G, ni kwa national tu, kama nafasi ipo Kenya, basi ni mkenya tu anayeweza kuomba hiyo kazi.
 
Freetown kama ulikuwa ukijua mbona hukuweka hizo ajira kabla tuzione? Au ndiyo ulidhani kila mtu anajua zinapatikana wapi...
 
Kwa yeyote anayefikiria kuomba kazi UN, post za G, ni kwa national tu, kama nafasi ipo Kenya, basi ni mkenya tu anayeweza kuomba hiyo kazi.

freetown, post za g sio kwa nationals tu bali ni kwa waombaji wanajulikana kama "locals" yaani wakazi wa nchi lilipo shirika. mfano kwa mashirika ya un yaliyopo kenya mtu yeyote ambae anaishi kenya kihalali anaweza kuomba akapata ila ataajiriwa kama "local staff" na sio "international staff".
 
Freetown kama ulikuwa ukijua mbona hukuweka hizo ajira kabla tuzione? Au ndiyo ulidhani kila mtu anajua zinapatikana wapi...


Samahani kwa kutoweziweka mapema na pia nilifikiri wengi wenu mnajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…